go ahead na huyo mdada ila kumbuka wazazi nao wana sehemu yao so nashauri mdada akaongee vzr na mama yake nadhani ataelewa coz ndoa ni imani na ni hisia kati ya wawili,cdhan ht km huyo mama anajua kuwa mwanaye anatakiwa awe huru na hisia zake so acmlazimishe,kila la kheri.