Usharobaro enzi zetu

Ile picha ya kwanza jamaa kaniudhi sana,

Huo mkono kwa nini kaweka kwenye bench wakati dada kampa ruksa 100%?
 
Na ukiongezea zaidi kwamba kipindi hicho hakuna ukimwi, nywele zinachomwa kwa kipande cha chungu kuwekwa kwenye moto na kupitishwa kichwani, looooh!

Hatari kubwa ilikuwa gono tu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…