kikahe JF-Expert Member Joined May 23, 2009 Posts 1,350 Reaction score 284 Nov 18, 2011 #21 Dena Amsi said: Click to expand... Hii Radio inaitwa MEMORY Q
Jumakidogo R I P Joined Jul 16, 2009 Posts 1,851 Reaction score 427 Nov 18, 2011 #22 Halafu mbona kama sura sio ngeni vile.
Dark City JF-Expert Member Joined Oct 18, 2008 Posts 16,252 Reaction score 11,649 Nov 18, 2011 #23 Ile picha ya kwanza jamaa kaniudhi sana, Huo mkono kwa nini kaweka kwenye bench wakati dada kampa ruksa 100%?
Ile picha ya kwanza jamaa kaniudhi sana, Huo mkono kwa nini kaweka kwenye bench wakati dada kampa ruksa 100%?
Bigirita Platinum Member Joined Feb 12, 2007 Posts 16,042 Reaction score 7,474 Nov 18, 2011 #24 Straddler said: Fegi nayo ilikuwa fashion... Click to expand... Haikuwa fashion kuivuta, ilikuwa fashion kuiweka mdomoni tu!! au kuiweka kwenye sikio kama fundi kapenta anavyoweka penseli!!
Straddler said: Fegi nayo ilikuwa fashion... Click to expand... Haikuwa fashion kuivuta, ilikuwa fashion kuiweka mdomoni tu!! au kuiweka kwenye sikio kama fundi kapenta anavyoweka penseli!!
Chatumkali JF-Expert Member Joined Sep 9, 2011 Posts 2,037 Reaction score 459 Nov 18, 2011 #25 ndyoko said: Na ukiongezea zaidi kwamba kipindi hicho hakuna ukimwi, nywele zinachomwa kwa kipande cha chungu kuwekwa kwenye moto na kupitishwa kichwani, looooh! Click to expand... Hatari kubwa ilikuwa gono tu!
ndyoko said: Na ukiongezea zaidi kwamba kipindi hicho hakuna ukimwi, nywele zinachomwa kwa kipande cha chungu kuwekwa kwenye moto na kupitishwa kichwani, looooh! Click to expand... Hatari kubwa ilikuwa gono tu!
Askari Kanzu JF-Expert Member Joined Jan 7, 2011 Posts 4,596 Reaction score 1,236 Nov 18, 2011 Thread starter #26 Dark City said: Ile picha ya kwanza jamaa kaniudhi sana, Huo mkono kwa nini kaweka kwenye bench wakati dada kampa ruksa 100%? Click to expand... Asa wewe ulitaka jamaa huo mkono aweke wapi?
Dark City said: Ile picha ya kwanza jamaa kaniudhi sana, Huo mkono kwa nini kaweka kwenye bench wakati dada kampa ruksa 100%? Click to expand... Asa wewe ulitaka jamaa huo mkono aweke wapi?