Ushanga mguuni nini maana yake

Ushanga mguuni nini maana yake

mimi nauliza nilichokiona wewe unaniletea mambo ya kikuku nani kakwambia nataka kikuku?? ungeongelea labda kibata hapo ningekusoma:bathbaby::bathbaby::welcome:

wengine huweka hizi nyingiiii jee haziwaumiziii???

View attachment 151852

Naulizaaaaa nani kasema mnichabo na kuniphoto????? walai mtatafuna nnnntuuuuu nalaaabuk!
 
Kwa tamaduni za zamani
1. Msagaji/ mswagwaji
2. 0713/0655

Kama ilivyokua kwa wanaume
Ukivaa hereni sikio la
1. Kushoto we ni shoga
2. Kulia we ni mbabe
 
kuvaa miguu miwili ni urembo. lakini kuvaa mguu mmoja ni kwamba biashara inatangazwa.
 
maana yake ni kupiga kotekote.. ..foward na back na nimethibithisha hilo
 
basii ndoo maana hiyooo sasa na wewe kama unataka iga kuvaa guu hilo la shoto
 
....

.....tartratatata makambo embadi !!!!

hii mambo bandugu mtatumasasi kwa puresha.....


attachment.php
 
mi huwa naona ni urembo tu,na huwa wanapendeza hasa.
 
Back
Top Bottom