Ushanga mguuni nini maana yake

Ushanga mguuni nini maana yake

MWALLA

JF-Expert Member
Joined
Dec 12, 2006
Posts
16,952
Reaction score
10,510
ushanga.jpg ushanga2.jpg

inanivutia kweli haswa nikiona binti kavaa guu la kushoto.... Nahamasikajeeee!!!!
 
mhhhh hizo kitu cku hizi kama fasheni tu mkuu lakini enzi hizo ukimkuta ke kavaa unajiuliza mara mbilimbili hivi mziki wake vipi maana unaweza kuogopa cku hizi atanikikutana nazo naona mbwembwe tu hamna jipya.
 
Watu wanasema ni uhuni kuvaa kikuku lakini mimi jamn sioni connection kati ya kikuku na tabia ya mtu ni urembo tu kama ilivyo hereni na cheni
 
wewe ni mkongwe huku, hata kama huna utamaduni wa kuingia mara kwa mara, nimekuwekea link nikiwa na maana unauliza swalli ambalo waliwahi kuuliza wenzio kwa hiyo ukifuata link husika unaweza kupata majibu yatakayosatisfy swali lako...wewe wa wapi yerooo? Halafu kuna huu utaratibu wa kuweka post moja kisha ya pili yake ukaji quote mwenyewe...
 
mimi nauliza nilichokiona wewe unaniletea mambo ya kikuku nani kakwambia nataka kikuku?? ungeongelea labda kibata hapo ningekusoma:bathbaby::bathbaby::welcome:

wengine huweka hizi nyingiiii jee haziwaumiziii???

View attachment 151852

he he he he he he he hii kitu imenikumbusha mtoto mmoja wa kigogo aisee
 
Back
Top Bottom