Binti Magufuli
JF-Expert Member
- Apr 2, 2011
- 7,479
- 5,160
Sijanunua Tz mkuu. Nimetoka nayo nje ila Dar nimeziona Nokia Care uliza inaitwa Nokia Lumia 800
japo kwa sasa kuna Lumia 900 imetoka March ila sijui kawa Dar ipo.
kabisa mkuu, mtu ni mwembambaaaaaa anunua kitanda cha 5kwa 6 au 6kwa6, kwa nini asinunue na kulalia kitanda cha 2na nusu kwa 6 kama vile vya boarding schools alichokuwa analalia enzi hizo na kinamtosha?
Tukianza kufatilia mambo ya anasa ni mengi sana,
Kwa mfano. Mtu unaish kwenye nyumba kuuubwa peke yeko,
ni kwa nini usijenge chumba kimoja chakukutosha?
Mtu m1 unamiliki nguo nyiingi kwa nini usiwe na nguo 6 tu?suruali 3 shati 3 kwisha,
Mtu m1 anamiliki kochi set nzima,
kwa nini usichonge stuli moja tu ya kukalia wewe mwenyewe?
Tehe tehe tehe tehe ntarudi baadae.
Nokia n9 naipata ila ni Symbian tatizo but ni nzuri sana.Hii simu Nokia Lumia 800 imeshuka sana bei......M1 Tshs unaipata, ila ukweli ipo juu!! Kuna kifaa kingine Nokia N9 ni matata isee.... ila programs ni almost the same na hii Lumia 800
Mi nafikiri lengo la kuwa na simu ni kuwa na uwezo wa kutuma ujumbe mfupi, uwezo wa kuwasiliana na mtu wa pili kwa haraka kwa ajili ya maongezi, labda tuweke na matumizi ya Internet ambapo unaweza kuhabarisha watu na kupata taarifa mbalimbali kama za hapa JF. Lakini mi point yangu ni kwaba kweli kuna ulazima wa kuwa na simu ya bei mbaya sana kuanzia laki 3 na kuendelea wakati unaweza kupata simu yenye hizo huduma zote kwa elfu 50 mpaka laki??, huu sio ushamba kweli!!, kinachofurahisha zaidi hao wanaotengeneza hizo simu wenyewe hata hawazitumii hizo za bei mbaya!!!,
Utakuuta mtu una simu ya milioni moja halafu anasema maisha magumu!!.
Nina laptop na modem lakini simu yangu inanifanya nisione umuhimu wa hivyo.
Kwenye hii simu nina Microsoft office 2010
Opera Mobile 10
Internet exploler
Radio
Currency converter ya kila fedha internet based SPB SHELL
facebook application
Twitter application
Myspace ''
Operating system yake ni Microsoft Windows Phone 7.5
Adobe reader
Bei yake kwa Dar 1.6 M
japo kwa sasa inaweza patikana hata kwa milion 1.3
na ina mambo mengi sana na kii kipana sana kama palm top.
MIMI BORA UNINYIME KOMPUTER ILA SIMU IWEPO TENA SIMU NZURI SANA HATA IWE YA 3M NITANUNUA.
mtoa mada huna hoby na simu au hujui pocket technology.
Hapa nadhan hoja si ushamba bali interest.
Basically matumizi ya simu ni hayo uloyataja ila yapo mengine mengi kama GPS,COMPASS,ENTERTAINMENT na services nyingine kibao kutegemea na aina ya simu na Apps zilizomo.Hata hivyo nakubaliana nawe ni ulimbukeni kununua simu expensive wakati wewe bado ni hohehahe,mlo wa mchana unapata kwa shemeji,hata chumba hauwezi kupanga bado unalala sebuleni kwa kaka yako,hata naiuli ya daladala wapewa na mjomba...ila siku ukiotea milioni eti yote unanunulia simu baadae unanitafta mimi nikutoe hela ya kununua jeans..weweeeee...😡 Wale mliojiimarisha kiuchumi sina shida na ninyi,nunua hata ya bilioni,ila sasa na wewe kumbuka ndugu zako wanavyotaabika kijijini kidogo kabla ya kufanya hivyo!!!!!!
Simu hiyo haina jina??? Wacha UHAYA
Nina laptop na modem lakini simu yangu inanifanya nisione umuhimu wa hivyo.
Kwenye hii simu nina Microsoft office 2010
Opera Mobile 10
Internet exploler
Radio
Currency converter ya kila fedha internet based SPB SHELL
facebook application
Twitter application
Myspace ''
Operating system yake ni Microsoft Windows Phone 7.5
Adobe reader
Bei yake kwa Dar 1.6 M
japo kwa sasa inaweza patikana hata kwa milion 1.3
na ina mambo mengi sana na kii kipana sana kama palm top.
MIMI BORA UNINYIME KOMPUTER ILA SIMU IWEPO TENA SIMU NZURI SANA HATA IWE YA 3M NITANUNUA.
mtoa mada huna hoby na simu au hujui pocket technology.
Hapa nadhan hoja si ushamba bali interest.
labda mkuu nkuulize kama hutajali
unaishi nyumba ya kupanga au umejenga?
hizo content za simu unazitumia zote kwa bongo?
mitandao yetu ina infrastructure inayoruhusu application ya hizo content?
iphone 4s au 5 ndo mpango mzima mkuu.ukitaka kufanya kitu basi kifanye kwa ubora zaidi,usije ukasema ghorofa ni ushamba we endelea tu kukaa tandale kununua cm ya gharama co ushamba hapa na_make nije kununua iphone4.
Ni baadhi ya service kama my nokia Bongo haipo bado.
Ms office ipo
whatsapp ipo
Gps nav ipo
camera inanisaidia sana kwa kupiga na ku upload hapohapo hivyo ni zaidi ya digital camera.
Youtube, twitter, myspace, linkedIn, zote zipo.
Zune haipo insteady natumia marketplace.
Nimbuzz, skype, AIM. INSTANT MESSAGING
Email napokea na kujiku kama sms vile.
Bible, dictionary, currency exchange, calculator, barcode reader n.k zote napata.
Airtel iko poa sana kwa huduma hizo zote.
Kumbuka kuna milions of mobile apps hata ukiwa NYC utatumia chache zinazogusa lifestyle yako. Ukitaka uwe nazo zote utakuwa crazy.
Mie spend gaming ndo maana sijataja hapo juu japo simu yangu ina support 3D games.
Kuna apps za usalama sijataja kwa kuwa siko huko. Simu ni zaidi ya uijuavyo.
KUMBUKA NIMESEMA NI INTEREST YANGU KUWA NA SIMU NZURI HATA IWEJE SIWEZ KUTUMIA SIMU ITAKAYONINYIMA HUDUMA HIZI.
NIMECHOKA NAPUMZISHA VIDOLE...
iphone 4s au 5 ndo mpango mzima mkuu.
but the best ni Windows Phone supported Os e.g Nokia Lumia lumia, Dell, Samsung au HTC.
iOs na Android, symbian au bada na BB sio ishu kivile.
Jipange KK III
duh , kama meza ya pul table, kinakwendaje hiki?
Unaona kitu hicho!!.
soma uchokozi wa mada kwa makiniJamani tuvumiliane ktk hili.Kama wewe huwezi kumudu simu fulani ni wewe tu,wacha wenye uwezo wawe nazo.Binadamu tunatofautiana ktk madaraja ya matumizi,na hiyo ndo inaleta maanaya maisha.