Ushahuri kuhusu mke wangu

Ushahuri kuhusu mke wangu

Huyo mwanamke sio mwaminifu kwako, anahisi anayoyafanya yeye wewe pia unayafanya ndio maana anakufatilia sana.
Kama huzini na wanawake wengine na una uhakika yeye ndio anakuambikiza hayo magonjwa endelea tu kukaa nae unachokitafuta utakipata.
Ni kweli uliyosema.
Nami nakazia hapo uliposema KAMA ANA UHAKIKA.

Ila mimi nadhani mienendo ya mwamba itakuwa imepelekea mke wake naye kutafuta huduma kwingine,sasa matokeo yake inaonekana yy ndo muharibifu,si unajua sisi wanaume tulivyo?
 
Sikiliza nikuambie, Watu Wabaya Huwa wanakawaida ya kujificha kwenye mavazi meupe.

Mkeo Kujifanya Kila Mara anakufatilia, analiaa, anakuambia naondoka, na mablaa blaaa mengi, ni mbinu ya wewe umuone yeye Malaika, ili utumie muda wako mwingi kua unajielezea kwake, na usitake kumfatilia.


Wewe ni Mjinga sana japo unataka uambiwe, 'Una akili', ila wewe ni mjinga sana ,mjinga na Tahira !!.


Meseji imeingia ya kimalaya, ukarudisha simu kimya kimya? Akajua unajua ? Alafu unakaa kimya?? Unakula Chakula anachopika?? Unakunywa chai yake ??

Hivi wanaume wengine mkoje ??

aiseee, ulishindwa kukiwasha palepale , Tena unashahidi wa meseji?? Wacha yeye anayesadiki, unameseji, alafu unashindwa kukiwasha ??.




Sasa nakuambia hiyo shida ya HSV Huwa inaendana na HIV , utachagua mwenyewe ,utakuta uishi na ipi !!.


Mjinga Mmoja wee, Ndivo ulifunzwa kwamba, ukiwa Jentomeni , ni kukaa kimya,, Nilitegemea unakuja kutusimulia JF juu ya hatua ulochukua haraka haraka, ili kuzuia Hatari kabla haijawa kubwa,,,,, Weee unaleta Blaaa blaaaaa .
Vyema.
 
Sikiliza nikuambie, Watu Wabaya Huwa wanakawaida ya kujificha kwenye mavazi meupe.

Mkeo Kujifanya Kila Mara anakufatilia, analiaa, anakuambia naondoka, na mablaa blaaa mengi, ni mbinu ya wewe umuone yeye Malaika, ili utumie muda wako mwingi kua unajielezea kwake, na usitake kumfatilia.


Wewe ni Mjinga sana japo unataka uambiwe, 'Una akili', ila wewe ni mjinga sana ,mjinga na Tahira !!.


Meseji imeingia ya kimalaya, ukarudisha simu kimya kimya? Akajua unajua ? Alafu unakaa kimya?? Unakula Chakula anachopika?? Unakunywa chai yake ??

Hivi wanaume wengine mkoje ??

aiseee, ulishindwa kukiwasha palepale , Tena unashahidi wa meseji?? Wacha yeye anayesadiki, unameseji, alafu unashindwa kukiwasha ??.




Sasa nakuambia hiyo shida ya HSV Huwa inaendana na HIV , utachagua mwenyewe ,unataka uishi na ipi !!.


Mjinga Mmoja wee, Ndivo ulifunzwa kwamba, ukiwa Jentomeni , ni kukaa kimya,, Nilitegemea unakuja kutusimulia JF juu ya hatua ulochukua haraka haraka, ili kuzuia Hatari kabla haijawa kubwa,,,,, Weee unaleta Blaaa blaaaaa .


yaan Wanaume mnaopata Wanawake Kwa bahati , na wale mnaoepuka Ngono mpaka mtakapooa, Huwa mna Matatizo sana !.


Una Ushahidi wa Meseji kua analiwa muda mrefuuu.
una Gonjwa unaishi nalo !!.


Bado tuuu umekomaaa
We jamaa mbona umekuja na mzuka hivyo....
 
YANI UNASUBIRI NINI KUMUONESHA UMEJUA UMALAYA WAKE??? mtu anakuambukiza herpes daily na wew umejua ni mchepukaji bado unamuogopaa kumwambia achaa ufala bhasi jamaaa....usiwee bwegee mzee kumbe hapo tatizo ni wewe sio Mwanamke wako.
 
We jamaa mbona umekuja na mzuka hivyo....
Jamaan Huwa nakerwa na type hizi za wanaume wenzangu wanolia Lia Lia humu JF nakuomba ushauri hata Kwa mambo ambayo alitakiwa atuelezee hatua alizofanya

Weee mtu anasema "Nimekaa kimya, Kwa Sasa sitaki ajue ".


Mwanamke akikukosea ,hata kama unampenda, HAKIKISHA AMEJUA KOSA LAKE, ALAFU MTESE SANA KIHISIA , AWE NA WASIWASI NA MAAMUZI UNAVYOTAKA KUCHUKUA.



utaona mwenyewe, anafanya uamuzi!!.
 
Hapo ni changamoto maana naona kuna issues nyingi sana.

1. Umeongelea kuwa anahisi ndugu zako hawampendi au kumthamini.

2. Umezungumzia yeye kutamka kuwa hawapendi ndugu zako.

3. Umezungumzia kuwa yeye anakutuhumu wewe kuwa na mahusiano na mahawara nje yenu.

4. Umezungumzia yeye kukufuatilia kwa kukuspy simu yako na hata kuweka wapelelezi wa kukufuatilia nyendo zako.

5. Umeongelea swala ya yeye kuwa na mahusiano nje na mtu ambaye haukudhania kuwa anafanya.

Mimi naona mambo yafuatayo:

Huyo mwanamke wako atakuwa na psychological issues ambazo akipata wataalamu wa afya ya akili wakikaa nae chini na kumpatia ushauri nasaha ataweza kurudia kuwa sawa.

Hili jambo inabidi liwe mandatory sana miaka hii especially kwa Vijana na mabinti wanaoingia katika mahusiano ya Ndoa kuanzia umri wa miaka 25 and above kwasababu ukiachia maswala ya trauma za kifamilia walipotokea wanakuwa na changamoto za kimahusiano sababu ya kujihusisha na watu wengi ndani ya muda mfupi na hii huwatoa katika ramani ya mahusiano bora sababu ya kuwa na X factors issues na kuja nazo katika mahusiano mapya.

Kwa namna mkeo umemuelezea mimi naweza kubashiri kuwa hakupata upendo ngazi ya familia yake au alidekezwa sana na imemuharibu akili kiasi kwamba analazimika kulazimisha kupendwa kwa ndugu zako na wewe pia.

Mtu wa namna hii anatakiwa kufanyiwa therapy ya tabia ili aweze kujitambua na mapungufu yake na kujirekebisha. Akifika na hii hali kuanzia umri wa miaka 35 kwenda juu itakuwa mtihani sana kumsaidia kutoka hapo alipo.

Unaona anavyolazimisha familia yako impe attention kwa nguvu?

Unaona anavyolazimisha wewe uwe wake tu yaani masaa 24 ya siku zote 365 za mwaka, ni mwendawazimu tu ndie atawaza hivi.

Unaona namna haridhiki na attention anakwenda tafuta mtu nje wa kumpa attention si kwasababu hakupendi au anataka kitu kingine nje ni ile kupewa attention na kufanyiwa yale anataka mwilini mwake.

Na pengine wewe unasema ni mtu m'moja si ajabu ameshalala na wanaume tofauti zaidi ya 10 au 20 for the sake of attention kisha akawapotezea ikibidi kuwablock ili wasimpate tena na inawezekana ana namba zaidi ya moja ambayo hiyo namba usiyoijua yeye ndie huitumia kuwasiliana na wale wanaomng'ang'ania ila wale ambao wastaarabu ndio kama huyo anaewasiliana nae kwa namna hiyo unayoijua.

So ushauri wangu, keti nae chini mwambie kuwa kuna changamoto unayoiona kwake na inaleta matokeo mabaya sana kwenu na itawapa mwisho mbaya kama mtaendelea kuilea hiyo changamoto. Lakini pia mpe sharti hili gumu sana kwamba mtakwenda kuwaona wataalamu wa Therapy ya tabia na utataka aweke commitment yake kwenye hilo na afanye kwa kuonyesha ushiriki wa hali ya juu.

Akikugomea na kujifanya mjuaji kuwa yupo sawa hana shida yoyote yupo salama then mwambie basi akatafute kichaa mwenzake ambaye watawezana kuishi pamoja wewe haujaumbwa kuishi na watu wenye matatizo na changamoto za kitabia wanaojifanya wapo sawa na hawana shida yoyote.
 
Sikiliza nikuambie, Watu Wabaya Huwa wanakawaida ya kujificha kwenye mavazi meupe.

Mkeo Kujifanya Kila Mara anakufatilia, analiaa, anakuambia naondoka, na mablaa blaaa mengi, ni mbinu ya wewe umuone yeye Malaika, ili utumie muda wako mwingi kua unajielezea kwake, na usitake kumfatilia.


Wewe ni Mjinga sana japo unataka uambiwe, 'Una akili', ila wewe ni mjinga sana ,mjinga na Tahira !!.


Meseji imeingia ya kimalaya, ukarudisha simu kimya kimya? Akajua unajua ? Alafu unakaa kimya?? Unakula Chakula anachopika?? Unakunywa chai yake ??

Hivi wanaume wengine mkoje ??

aiseee, ulishindwa kukiwasha palepale , Tena unashahidi wa meseji?? Wacha yeye anayesadiki, unameseji, alafu unashindwa kukiwasha ??.




Sasa nakuambia hiyo shida ya HSV Huwa inaendana na HIV , utachagua mwenyewe ,unataka uishi na ipi !!.


Mjinga Mmoja wee, Ndivo ulifunzwa kwamba, ukiwa Jentomeni , ni kukaa kimya,, Nilitegemea unakuja kutusimulia JF juu ya hatua ulochukua haraka haraka, ili kuzuia Hatari kabla haijawa kubwa,,,,, Weee unaleta Blaaa blaaaaa .


yaan Wanaume mnaopata Wanawake Kwa bahati , na wale mnaoepuka Ngono mpaka mtakapooa, Huwa mna Matatizo sana !.


Una Ushahidi wa Meseji kua analiwa muda mrefuuu.
una Gonjwa unaishi nalo !!.


Bado tuuu umekomaaa
Duuuh kwa comment hiii anaweza kutafuta kamba.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Niliwahi kuambiwa mwanamke akizidisha wivu huwa anachepuka huo wivu sasa ndio inakupumbaza usimhisi chochote kibaya juu yake . maamuzi unayo wewe maana mapenzi niya wawili
 
Jamaan Huwa nakerwa na type hizi za wanaume wenzangu wanolia Lia Lia humu JF nakuomba ushauri hata Kwa mambo ambayo alitakiwa atuelezee hatua alizofanya

Weee mtu anasema "Nimekaa kimya, Kwa Sasa sitaki ajue ".


Mwanamke akikukosea ,hata kama unampenda, HAKIKISHA AMEJUA KOSA LAKE, ALAFU MTESE SANA KIHISIA , AWE NA WASIWASI NA MAAMUZI UNAVYOTAKA KUCHUKUA.



utaona mwenyewe, anafanya uamuzi!!.
Ni hatari sna mwanaume kuongozwa na hisia kuliko akil na utashi mkuu .
 
Umeoa kahaba lenye roho mbaya, huna mke. Kabla hajakushika zaidi na kukufanya ndondocha kuliko ulivyo sasa achana nae.
 
Vyema mkuu,nami nimeyaona hayo baada ya kusoma uzi wote ila nadhani mke wa jamaa ana weweseka pengine kuhofia kupokwa nafasi yake pengine kutokana na mienendo ya mwamba au huyo mwanamke anatafuta namna ya kumtawala mwamba. Akayachunguze kwa umakini sana.
Hapo ni changamoto maana naona kuna issues nyingi sana.

1. Umeongelea kuwa anahisi ndugu zako hawampendi au kumthamini.

2. Umezungumzia yeye kutamka kuwa hawapendi ndugu zako.

3. Umezungumzia kuwa yeye anakutuhumu wewe kuwa na mahusiano na mahawara nje yenu.

4. Umezungumzia yeye kukufuatilia kwa kukuspy simu yako na hata kuweka wapelelezi wa kukufuatilia nyendo zako.

5. Umeongelea swala ya yeye kuwa na mahusiano nje na mtu ambaye haukudhania kuwa anafanya.

Mimi naona mambo yafuatayo:

Huyo mwanamke wako atakuwa na psychological issues ambazo akipata wataalamu wa afya ya akili wakikaa nae chini na kumpatia ushauri nasaha ataweza kurudia kuwa sawa.

Hili jambo inabidi liwe mandatory sana miaka hii especially kwa Vijana na mabinti wanaoingia katika mahusiano ya Ndoa kuanzia umri wa miaka 25 and above kwasababu ukiachia maswala ya trauma za kifamilia walipotokea wanakuwa na changamoto za kimahusiano sababu ya kujihusisha na watu wengi ndani ya muda mfupi na hii huwatoa katika ramani ya mahusiano bora sababu ya kuwa na X factors issues na kuja nazo katika mahusiano mapya.

Kwa namna mkeo umemuelezea mimi naweza kubashiri kuwa hakupata upendo ngazi ya familia yake au alidekezwa sana na imemuharibu akili kiasi kwamba analazimika kulazimisha kupendwa kwa ndugu zako na wewe pia.

Mtu wa namna hii anatakiwa kufanyiwa therapy ya tabia ili aweze kujitambua na mapungufu yake na kujirekebisha. Akifika na hii hali kuanzia umri wa miaka 35 kwenda juu itakuwa mtihani sana kumsaidia kutoka hapo alipo.

Unaona anavyolazimisha familia yako impe attention kwa nguvu?

Unaona anavyolazimisha wewe uwe wake tu yaani masaa 24 ya siku zote 365 za mwaka, ni mwendawazimu tu ndie atawaza hivi.

Unaona namna haridhiki na attention anakwenda tafuta mtu nje wa kumpa attention si kwasababu hakupendi au anataka kitu kingine nje ni ile kupewa attention na kufanyiwa yale anataka mwilini mwake.

Na pengine wewe unasema ni mtu m'moja si ajabu ameshalala na wanaume tofauti zaidi ya 10 au 20 for the sake of attention kisha akawapotezea ikibidi kuwablock ili wasimpate tena na inawezekana ana namba zaidi ya moja ambayo hiyo namba usiyoijua yeye ndie huitumia kuwasiliana na wale wanaomng'ang'ania ila wale ambao wastaarabu ndio kama huyo anaewasiliana nae kwa namna hiyo unayoijua.

So ushauri wangu, keti nae chini mwambie kuwa kuna changamoto unayoiona kwake na inaleta matokeo mabaya sana kwenu na itawapa mwisho mbaya kama mtaendelea kuilea hiyo changamoto. 3
 
Habari jf
Moja kwa Moja nije kwenye mada yangu. Nina ishi na huyu mwanamke tangu 2020 na tumejaaliwa kupata mtoto Mmoja japo hatujafunga ndoa lakini nililipia mahari

Amekuwa na wivu sana kuhusu Mimi lakini kwangu sio shida maana ilikuwa hainipi shida lakini baadae alianza hadi kutuma boda boda inifatilie kwenye mishe zangu kama ningukuwa nafanya mambo ya kihuni.

Mara kadhaa amekuwa akinishutumu na mahusiano na wafanyakazi wenzangu kazini ( yeye alimaliza chuo hajapata ajira) nikahisi labda Yuko loose nikaamua kumfungulia biashara

Imefika pahala alinitamkia Toka mdomoni make ya kwamba anamchukia mama yangu na ndugu zangu sababu sisi ni wa binafsi na hatumpendi sababu Huwa hawampigii simu mara kwa mara

Mwaka huu February niligundua kama simu yangu imedukuliwa ndo nikaenda kwa fundi nikagundua kama yeye ndo alifanya hivyo nikamwomba atoe lakini alibisha kuwa hajafanya.

Ukiachana na hayo yote Kila ugomvi ikitokea anadai anataka kuondoka lakini nikikubaliana na maamuzi yake anawapigia simu ndugu zangu na ndugu zake kwamba nataka kumfukuza so Huwa nashindwa kuelewa anataka nini. Yeye always ni vita juu ya wanawake wenzake japo kuwa hajawahi nifumania Wala kunikuta na mwanamke kwenye simu yangu.huwa anakisia anaponiona nawasiliana na mwanamke yeyote

Wiki iliyopita niliazika simu yake niwekee wi-fi kwenye tv ndipo ikaingia SMS ambayo ilinistua ikabdii nifuatilie nikaona ana mawasiliano ya kimapenzi nawanamme mwingine kwa muda mrefu ndipo nikaanza kuunganisha dots. Nimekuwa nikipata ugonjwa unaitwa herpes simplex kwa muda mrefu sana ikafika pahala Kila tukifanya mapenzi lazma nipake dawa huku yeye akinirushia maneno ya kwamba huu ugonjwa ninautoa nje namletea. Lakini nisipofanya mapenzi nilikuwa siupati nakuwa sawaaa kabisaaa. Ikafika pahala nikawa sipati hata hamu nae sababu ya kufu ya huu ugonjwa

Tangu nigundue sijamwuliza lolote lakini amejishtukia anahisi Kuna kitu nimegundua japo sipendi ajue kwa Sasa.
Mwenye uzoefu na changamoto kama hii anipe ushauri tafadhari
ila kama ni reality wewe ni mwanaume bwege sana.
FB_IMG_1676751097636.jpg
 
Sikiliza nikuambie, Watu Wabaya Huwa wanakawaida ya kujificha kwenye mavazi meupe.

Mkeo Kujifanya Kila Mara anakufatilia, analiaa, anakuambia naondoka, na mablaa blaaa mengi, ni mbinu ya wewe umuone yeye Malaika, ili utumie muda wako mwingi kua unajielezea kwake, na usitake kumfatilia.


Wewe ni Mjinga sana japo unataka uambiwe, 'Una akili', ila wewe ni mjinga sana ,mjinga na Tahira !!.


Meseji imeingia ya kimalaya, ukarudisha simu kimya kimya? Akajua unajua ? Alafu unakaa kimya?? Unakula Chakula anachopika?? Unakunywa chai yake ??

Hivi wanaume wengine mkoje ??

aiseee, ulishindwa kukiwasha palepale , Tena unashahidi wa meseji?? Wacha yeye anayesadiki, unameseji, alafu unashindwa kukiwasha ??.




Sasa nakuambia hiyo shida ya HSV Huwa inaendana na HIV , utachagua mwenyewe ,unataka uishi na ipi !!.


Mjinga Mmoja wee, Ndivo ulifunzwa kwamba, ukiwa Jentomeni , ni kukaa kimya,, Nilitegemea unakuja kutusimulia JF juu ya hatua ulochukua haraka haraka, ili kuzuia Hatari kabla haijawa kubwa,,,,, Weee unaleta Blaaa blaaaaa .


yaan Wanaume mnaopata Wanawake Kwa bahati , na wale mnaoepuka Ngono mpaka mtakapooa, Huwa mna Matatizo sana !.


Una Ushahidi wa Meseji kua analiwa muda mrefuuu.
una Gonjwa unaishi nalo !!.


Bado tuuu umekomaaa
Damn brother, you spoke the whole truth. Amen to what u just said here.
 
Mkuu jaribu kukaza, Sifa ya Mwanamume ni kukaza....ukicheka na nyani utavuna mabua.
 
Back
Top Bottom