Ukishamjua mwizi wako raha sana,naamini wakina mama watachukua kanga na mchele halafu kura kwa CDM!Picha hii hii imenikosha jinsi huyu mama aliyebeba mtoto, bila kuogopa anavyoshangilia. Wengine ni hao wasichana wadogo ambao ni wapiga kura wa kesho!
View attachment 109042
Kuna nguvu ya ziada inayo tumika na hawa ndugu zetu,siyo siri tena.Why wakubalike kiasi hiki?
Duh, kumekucha, kama na Njombe kumekuwa hivi? Maana Njombe ndiyo huwa inaongoza kwa kuipa kura CCM. Kama na wenyewe wameanza kugeuka basi inatia moyo.Njombe...