mbongowakweli
JF-Expert Member
- Aug 24, 2011
- 848
- 686
Unaona sasa, kumbe mrembo ni mwizi, pure and simple, anyee debe ajifunze hakuna vya bure duniani..Hakuna mfanyakazi TRA nanaanza analipwa 2M. Hiyo mishahara ni level za meneja wa wilaya au principal tax officers.
Gross ya TRA ni laki 8. Transport & Housing allowance ni 160,000.
Ukiona mtumishi wa TRA anaishi maisha nje ya huo mshahara ujue ni wizi au rushwa.
Watu mna imaginations za ajabu sana kuhusu mishahara ya TRA.
Rudia kusoma mashitaka ya awali ya huyo dada, walitaja na mshahara wake hadi kufikia june 2016 ambao hauzidi 1.2M na ana miaka 7 sasa kazini.
TRA nje ya rushwa ni maisha ni ya kawaida sana.