Ushahidi: Godfrey Mgimwa ni raia wa Uingereza

Ushahidi: Godfrey Mgimwa ni raia wa Uingereza

Mbona haileweki....fafanua

atafafanua nini mkuu, hii moja ya mada za kuwapotezea watu muda bila sababu. Amekwenda ame-dit WIKIPEDIA halafu anakuja na utumbo wake humu. Mada yenyewe watu wameipuuza ndiyo maana haichangiwi.
 
Wananchi wa Kalenga wanamhitaji kwa sababu ni mchapa kazi siyo kwa sababu ya uzushi wa kuwa siyo raia.

HATA SHETANI HAJAWAHI KUONGOPA kwa KIWANGO CHAKO , UCHAPAKAZI WAKE UMEUJULIA WAPI ? WAKATI WEWE NI MKAZI WA BUGURUNI KWA MNYAMANI na huyo MKIMBIZI KWAO NI LONDON !
 
MKUU vipi mbona umekurupuka sana au kangara ya Leo imekufanya kitumbaya sana nini.
sijui ni mm pekeyangu sijaelewa??
 
MKUU vipi mbona umekurupuka sana au kangara ya Leo imekufanya kitumbaya sana nini.
sijui ni mm pekeyangu sijaelewa??

Hajui namna ambavyo WIKIPEDIA inafanyakazi, alifikiri akifanya editing hatagundulika. Matatizo ya kusoma short course za Computer.
 
HATA SHETANI HAJAWAHI KUONGOPA kwa KIWANGO CHAKO , UCHAPAKAZI WAKE UMEUJULIA WAPI ? WAKATI WEWE NI MKAZI WA BUGURUNI KWA MNYAMANI na huyo MKIMBIZI KWAO NI LONDON !

wana-Kalenga wanajua, subiri machi 16 utapata jibu la wapi uchapakazi wake nimeujulia.
 
Kuna ubaya gani Mgimwa G. kutawala jimbo la Kalenga? Ndugu zake wote wapo Kalenga. Mbona wakoloni walitutawala sana hali ya kuwa hawakuwa na ndugu Tz na Africa nzima?
 
Cheki uthibitisho wake
tunaanza na hizi hapa wenye mitandao cheki hizi link kwa wananchi tumewaprintia tutawapa kwenye mikutano:
Godfrey Mgimwa - Wikipedia, the free encyclopedia

Godfrey W Mgimwa - London SW16 - full address - 192.com

source: chadema kalenga fb page

Hapa Tanzania kuna watu wanashingo ndefu za wivu ni ndefu kushinda ile ya Twiga na kwa ndege ni ndefu kushinda ile ya mbuni, huyu Godfrey W Mgimwa alisoma UK alizaliwa Iringa. Ni Mtanzania wa kuzaliwa, ikiwa ungetuletea ushahidi wa cheti cha kuzalia kuwa alizaliwa UK ningekaa kimyaaaaaa. Jamani tusiwe wavivu wa kufikiri kiasi hicho!!! Madai haya ni povu tupu
 
Back
Top Bottom