Maundumula
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 7,550
- 3,092
Dah! Acha tu
Tena na cyber sex mmeshafanya, saana
Halafu in real life wote mnajulikana kwa kupinga uzinzi....lol
Uso wa mbuzi unaendelea
Yaani muda wote hajakuambia jina lake ni nani mpaka mnapanga kukutana mnafahamiana kwa majina ya JF tuu
Akili kumkichwa hapo
Wana Jamvi,
Hivi inakuwaje pale ambapo umekutana tu na binti hapa ndani uka flirt naye mnazinguana sana PM, yaani mshaongea ujinga ujinga kibao mwisho mnaamua mkutane ana kwa ana.
Hamad!!! unakuja kukutana na subordinate wako wa ofisini ambaye mnaheshimiana sana ana kwita boss na ni sehemu ya timu yako mnafanya kazi kwa karibu na huwa unamuwekea uso wa mbuzi ofisini ukijidai eti upo serious hutaki ujinga ujinga.
Dah utafanyaje mwana MMU?
dah .....acha tu........
tena na cyber sex mmeshafanya.....saana
halafu in real life wote mnajulikana kwa kupinga uzinzi....lol
dah .....acha tu........
tena na cyber sex mmeshafanya.....saana
halafu in real life wote mnajulikana kwa kupinga uzinzi....lol
Mr Rocky,
Anaweza kukutajia jina la uongo ili mkikutana akupe la ukweli hehehe. Mnakutana ndio dah aibu...
Boss,
Kama tushagonga sex mtandao mnamuombea uhamisho ahamishiwe dept nyingine tuna swap nazungumza na boss wake. Au la mimi naanza kutafuta kazi nyingine hehehe
hahahaha.... Tena tu the next day if you communicate you are shy over the phone na hujawahi muona... I can not imagine aibu ya face to face (Take note: speaking from assumption) :eyebrows:
who said its from experience?
is it? lol
Mimi kwa mtazamo wangu sio embarrassing kivile.... Tatizo huja hapa.
- Wewe ni kijana alafu kumbe huyo mhusika age sawa na mamako.
- Wewe ni mdada/mwanamke alafu kijana mwenyewe ni 19/20 hivi.
- Mnafahamiana kabisa to the extent kila mmoja ajua hadi mke/mmeo na wote hua mnapotray ni wastaarabu.
- Ni ndugu yako kabisa wa damu.... Gosh!
- Ulivokua unategemea alivo sivo. mfano if you thot yupo kama Denzel Washington unakutana na the opposite! lol
Mimi kwa mtazamo wangu sio embarrassing kivile.... Tatizo huja hapa.
- Wewe ni kijana alafu kumbe huyo mhusika age sawa na mamako.
- Wewe ni mdada/mwanamke alafu kijana mwenyewe ni 19/20 hivi.
- Mnafahamiana kabisa to the extent kila mmoja ajua hadi mke/mmeo na wote hua mnapotray ni wastaarabu.
- Ni ndugu yako kabisa wa damu.... Gosh!
- Ulivokua unategemea alivo sivo. mfano if you thot yupo kama Denzel Washington unakutana na the opposite! lol
shida yote ya nini
bora kumalizia mlipoishia tu....lol
Hamad!!! unakuja kukutana na subordinate wako wa ofisini ambaye mnaheshimiana sana ana kwita boss na ni sehemu ya timu yako mnafanya kazi kwa karibu na huwa unamuwekea uso wa mbuzi ofisini ukijidai eti upo serious hutaki ujinga ujinga.