Usela maisha ya kishua sana!!

Usela maisha ya kishua sana!!

Ngoja siku upate tumbo la Udereva na upo alone geto kwako,
Sitahitaji simu yeyote ile ije kwa mke wangu I'm telling yu mai frend 😂😂😂😂😂😂😂😂
 
Eti auntie
Is dat normal?
Yes ni kawaida sasa uyabebe ya nini kama hunufaiki nayo?

Ila mimi siyabebi yenyewe yananifata mfano nilipoona I'd yako kuna kitu nilihisi nadhani nilikuambia kwenye uzi fulani nilijisemea mbona huyu kama ni fulani na hapo hata sikua nimechunguza 😅😅😅
 
Yes ni kawaida sasa uyabebe ya nini kama hunufaiki nayo?

Ila mimi siyabebi yenyewe yananifata mfano nilipoona I'd yako kuna kitu nilihisi nadhani nilikuambia kwenye uzi fulani nilijisemea mbona huyu kama ni fulani na hapo hata sikua nimechunguza 😅😅😅
Miandiko inabeba personalities za watu.

Umenikumbusha enzi za ujana niliwahi kuwa na Id kama nne.
Nikichoka hii, nachukua hii.
Kuna id ilikuwa maalumu kwa ajili ya kutafutia wachumba, siku moja nikajikuta nimeingia kwenye moyo wa toto la kichagga, sijui bado yupo humu au alishasepa zake.
Siku nyingine nikajikuta nimeingia kwa mshangazi mmoja halafu mshangazi alikuwa na kabinti kazuriiii baadaye tukapotezana.
 
Miandiko inabeba personalities za watu.

Umenikumbusha enzi za ujana niliwahi kuwa na Id kama nne.
Nikichoka hii, nachukua hii.
Kuna id ilikuwa maalumu kwa ajili ya kutafutia wachumba, siku moja nikajikuta nimeingia kwenye moyo wa toto la kichagga, sijui bado yupo humu au alishasepa zake.
Siku nyingine nikajikuta nimeingia kwa mshangazi mmoja halafu mshangazi alikuwa na kabinti kazuriiii baadaye tukapotezana.
Acha umalayer auntie 😮
 
Back
Top Bottom