used pc from china

used pc from china

Chibwende

Member
Joined
Jun 11, 2013
Posts
17
Reaction score
5
habari wadau, kuna kampuni moja inaitwa si -electron ambayo inahusika na uuzaji wa computer used. malipo ya bidhaa zao wanafanya through western union na mzigo unakufikia kupitia DHL au Fedex mahala ulipo. naomba kufaham kama kuna mtu mwenye experience na kununua bidhaa kutoka kwenye kamouni hii ioli tuweze ku share what is good for all of us regards
 
ni kweli, lakini hawa jamaa wameniambia kua kwa kua mzigo wangu umezidi USD 300, basi watanifanyia free shipping via DHL mpaka nilipo
 
habari wadau, kuna kampuni moja inaitwa si -electron ambayo inahusika na uuzaji wa computer used. malipo ya bidhaa zao wanafanya through western union na mzigo unakufikia kupitia DHL au Fedex mahala ulipo. naomba kufaham kama kuna mtu mwenye experience na kununua bidhaa kutoka kwenye kamouni hii ioli tuweze ku share what is good for all of us regards

Ndugu angalia utaumia faster kulipa direct kwa muuzaji inaweza kula kwako malipo ya online huwa tunalipa kupitia safer ways like aliexpress na PayPal sababu km muuzaji atakuzingua utaweza kupata refund kwa urahisi
 
Sasa chief mkwawa usafiri nafuu ni upi maaNa dhl na fedex ndio hivyo tena
 
Sasa chief mkwawa usafiri nafuu ni upi maaNa dhl na fedex ndio hivyo tena

Inadepend na unachonunua, jinsi kinavyokua kizito ndio dhl na fedex zinakula hela nyingi. Kitu kama laptop kubwa hadi desktop watakata malaki ya pesa hadi mamilioni kusafirisha. Even kwako wewe decoder cost ya kuileta na dhl pamoja na kodi inaweza kuzidi laki 2 hivyo utakuta usaifiri tu unazidi thamani ya kifaa.

Kama unasafirisha kitu chepesi sio mbaya maana jamaa wapo fast, around wiki unapata kitu chako.

Kama kitu ni kizito posta au kampuni za mizigo zinazobeba na meli ndio zinafaa, bei ni rahisi ila vinachukua muda kufika. Sometime inaweza chukua zaidi ya mwezi
 
inadepend na unachonunua, jinsi kinavyokua kizito ndio dhl na fedex zinakula hela nyingi. Kitu kama laptop kubwa hadi desktop watakata malaki ya pesa hadi mamilioni kusafirisha. Even kwako wewe decoder cost ya kuileta na dhl pamoja na kodi inaweza kuzidi laki 2 hivyo utakuta usaifiri tu unazidi thamani ya kifaa.

Kama unasafirisha kitu chepesi sio mbaya maana jamaa wapo fast, around wiki unapata kitu chako.

Kama kitu ni kizito posta au kampuni za mizigo zinazobeba na meli ndio zinafaa, bei ni rahisi ila vinachukua muda kufika. Sometime inaweza chukua zaidi ya mwezi

chief mfano mimi nahitaji kununua tablet galaxy tab s. Je unadhani gharama ya usafiri pekee itakuwa kiasi gani
 
chief mfano mimi nahitaji kununua tablet galaxy tab s. Je unadhani gharama ya usafiri pekee itakuwa kiasi gani
Unanunulia wapi? Kama ni maeneo kama ebay wanaandika bei, au kama kaandika uzito nafkiri dhl wana table zao unaweza ukaangalia mwenyewe
 
Back
Top Bottom