Ngamanya Kitangalala
JF-Expert Member
- Sep 24, 2012
- 501
- 1,214
Maamuzi yameshafikiwa na wananchi walio wengi, kujitoa katika jumuiya ya ulaya
Kwa kura ya maoni,,
leo hii ku trigger article 50, mahakama kuu imeamua ni mpaka kuidhinishwa na bunge kwanza
Swali la msingi
Je wananchi na wabunge ambao kimsingi ni wawakilishi wa wananchi
Ni nani mwenye maamuzi ya mwisho?
Leo hii hao hao kiongozi wao mkuu wa serikali(waziri mkuu)
Hakuwahi kupigiwa kura na wananchi
Hao hao kila mara wamekuwa wakizilazimisha nchi zetu hizi za dunia ya tatu
Kuheshimu demokrasia
Imefika wakati waafrika kwa umoja wetu
Tukatae kuingiliwa na hawa wakubwa
Kwani hakuna kitu kinaitwa demokrasia hapa duniani
Kwa kura ya maoni,,
leo hii ku trigger article 50, mahakama kuu imeamua ni mpaka kuidhinishwa na bunge kwanza
Swali la msingi
Je wananchi na wabunge ambao kimsingi ni wawakilishi wa wananchi
Ni nani mwenye maamuzi ya mwisho?
Leo hii hao hao kiongozi wao mkuu wa serikali(waziri mkuu)
Hakuwahi kupigiwa kura na wananchi
Hao hao kila mara wamekuwa wakizilazimisha nchi zetu hizi za dunia ya tatu
Kuheshimu demokrasia
Imefika wakati waafrika kwa umoja wetu
Tukatae kuingiliwa na hawa wakubwa
Kwani hakuna kitu kinaitwa demokrasia hapa duniani