Usaliti wake chanzo cha kutomuoa

Usaliti wake chanzo cha kutomuoa

Ba Glory

Member
Joined
Nov 17, 2014
Posts
19
Reaction score
6
Inauma sana unaposalitiwa na mpenzi mkiwa eneo moja na jioni mlikuwa wote.

Ndio yaliyonitokea kwa mrembo Neema mwambao lake Tanganyika.Uamuzi wangu tofauti sana na wanaume wengi me nikiprove kwa data sirudii mtu.

Wewe vipi mdau
 
Kulikuwa hamna haja ya kutaja jina, utakuwa mgeni,karibu JF...
 
Inauma sana unaposalitiwa na mpenz mkiwa eneo moja na jion mlikuwa wote.Ndo yalonitokea kwa mrembo neema mwambao lake Tanganyika.Uamz wang tofaut sana na wanaume weng me nikprove kwa data sirudii mtu.ww vp mdau

Jee umejua sababu ya kusalitiwa? Wewe ulipo kua nae hujawahi kumsaliti? Ukisusa wenzio wanakula...
 
Inauma sana unaposalitiwa na mpenz mkiwa eneo moja na jion mlikuwa wote.Ndo yalonitokea kwa mrembo neema mwambao lake Tanganyika.Uamz wang tofaut sana na wanaume weng me nikprove kwa data sirudii mtu.ww vp mdau

mleta mada @ba GLORY Utakuwa ni umehitimu wa kidato cha nne wiki lililoisha .
 
Last edited by a moderator:
Jee umejua sababu ya kusalitiwa? Wewe ulipo kua nae hujawahi kumsaliti? Ukisusa wenzio wanakula...

Data zinaonesha kwamba ni aina ya madada wasiojua kukataa,ni wale wenye machoz meng ya kujhami.
 
Inauma sana unaposalitiwa na mpenz mkiwa eneo moja na jion mlikuwa wote.Ndo yalonitokea kwa mrembo neema mwambao lake Tanganyika.Uamz wang tofaut sana na wanaume weng me nikprove kwa data sirudii mtu.ww vp mdau
alikuona huwezi kazi mzee, inakuwaje kama ulimtandika vya kutosha hamu ikamwisha afanye alichofanya? alishakudharau we omba Mungu akupe mke anayefanana na wewe. na uache zinaa, utakufa na ngoma.wanawake ndivyo walivyo anaweza kugawa hata kwa watano akiamua kama ameamua kukutumia na kama ni ngoma inawapata wote.
 
Kwani alikuambia anashida ya kuolewa na wewe. Alikujaribu tu wanaume bwana, Kwani unafikiri kuwa na wewe ndio nimeshajibinafsisha kwako. Eeee Miss chagga njoo huku wametuanza tena hawa. Wakati jana tulisema hatutaki kusemwa humu.
 
Back
Top Bottom