GAZETI
JF-Expert Member
- Feb 24, 2011
- 5,278
- 6,673
Sijui kama ni watu mnaoshaurika, ingawa nafahamu wazi kuwa tunakuwa pamoja katika majukwaa mbalimbali.
Ndani ya nchi yetu kuna tishio la Al- Shababb.
Ninachokiona hapa ni kuwa tishio litakuwa kubwa zaidi iwapo mpango wa Odinga kuomba msaada wa Kijeshi kwa Israel utafanikiwa. Kuingia kwa Waisrael ndani ya Somalia eti kwa Lengo la kuwasaidia wakenya kitakuwa kivutio kwa maadui mbalimbali wa Israel ambao ni wengi sana na ni suala linalofahamika. Hiyo itakuwa ni moja ya sababu za kuiingiza nchi yetu kwenye machafuko hayo ambayo tusipokuwa makini yatasambaa A.Mashariki.
Tunachotakiwa kufanya ni kutokubali kabisa kujiingiza kwenye mzozo huo ambao tusipozingatia utatuingiza kwenye machafuko ambayo yatazidi kuharibu uchumi
wetu ambao tayari yamekwishaharibika pia ule wimbo wa Nchi yenye AMANI hautaimbwa tena.
WASIWASI WANGU
Kuna uwezekano mkubwa Mataifa ya Magharibi (Hususani Marekani) au Israel, wakalipua moja katika maeneo ya nchi yetu na kuwasingizia AL Shabab ili wapate kisingizio cha kuiingiza Tanzania kwenye mgogoro huo wa aina yake
USHAURI WANGU
Nafikiri ni wakati muafaka sasa kwa Idara kuunda kitengo maalum ambacho kitakuwa na kazi maalum ya kutafakari kwa kina jambo lolote linalotokea namna ya kuliendea n.k Kitengo hicho kiwe na watu wenye uwezo nzuri wa kufikiri na kushauri juu ya masuala nyeti ya nchi na si kuwaachia wanasiasa waamue wanavyotaka.
Mwambieni ndugu A.C aunde special department ya watu wenye akili ambao wataweza kutushauri pale Wamarekani na mataifa mengine korofi wanapotaka kuturubuni kwa jambo lolote.
GAZETI (P.I)
Ndani ya nchi yetu kuna tishio la Al- Shababb.
Ninachokiona hapa ni kuwa tishio litakuwa kubwa zaidi iwapo mpango wa Odinga kuomba msaada wa Kijeshi kwa Israel utafanikiwa. Kuingia kwa Waisrael ndani ya Somalia eti kwa Lengo la kuwasaidia wakenya kitakuwa kivutio kwa maadui mbalimbali wa Israel ambao ni wengi sana na ni suala linalofahamika. Hiyo itakuwa ni moja ya sababu za kuiingiza nchi yetu kwenye machafuko hayo ambayo tusipokuwa makini yatasambaa A.Mashariki.
Tunachotakiwa kufanya ni kutokubali kabisa kujiingiza kwenye mzozo huo ambao tusipozingatia utatuingiza kwenye machafuko ambayo yatazidi kuharibu uchumi
wetu ambao tayari yamekwishaharibika pia ule wimbo wa Nchi yenye AMANI hautaimbwa tena.
WASIWASI WANGU
Kuna uwezekano mkubwa Mataifa ya Magharibi (Hususani Marekani) au Israel, wakalipua moja katika maeneo ya nchi yetu na kuwasingizia AL Shabab ili wapate kisingizio cha kuiingiza Tanzania kwenye mgogoro huo wa aina yake
USHAURI WANGU
Nafikiri ni wakati muafaka sasa kwa Idara kuunda kitengo maalum ambacho kitakuwa na kazi maalum ya kutafakari kwa kina jambo lolote linalotokea namna ya kuliendea n.k Kitengo hicho kiwe na watu wenye uwezo nzuri wa kufikiri na kushauri juu ya masuala nyeti ya nchi na si kuwaachia wanasiasa waamue wanavyotaka.
Mwambieni ndugu A.C aunde special department ya watu wenye akili ambao wataweza kutushauri pale Wamarekani na mataifa mengine korofi wanapotaka kuturubuni kwa jambo lolote.
GAZETI (P.I)