Usalama wa Taifa, ni kwanini mpaka leo sabuni ya jamaa imeshika soko Tanzania?

Upepo wa Pesa

JF-Expert Member
Aug 8, 2015
21,254
34,205
Kuna kitu huwa najifunza kwa wenzetu hasa wachina, vyombo vyao vya usalama moja kati ya kazi wanazifanya "wizi wa teknolojia" kutoka kwa mataifa mengine!

Lakini hapa kwetu naona nintofauti kidogo, je ni kwanini bidhaa za Kenya zina dominate soko letu na sisi tupo tu? Ukienda dukani sabuni utakuta jamaa!

Ukienda dukani chumvi utakuta ya Kenya!

Je, vyombo vyetu vya usalama vimeshindwa kudukua teknolojia zao na sisi tuzalishe tutumie vyetu badala ya kuagiza nje?

Je, ni kwamba tunatamani kudukua lakini uwezo hatuna?
 
Kuna kitu huwa najifunza kwa wenzetu hasa wachina, vyombo vyao vya usalama moja kati ya kazi wanazifanya "wizi wa teknolojia" kutoka kwa mataifa mengine!

Lakini hapa kwetu naona nintofauti kidogo, je ni kwanini bidhaa za kenya zina dominate soko letu na sisi tupo tu?

Ukienda dukank sabuni utakuta jamaa!

Ukienda dukani chumvi utakuta ya kenya!

Je vyombo vyetu vya usalama vimeshindwa kudukua teknolojia zao na sisi tuzalishe tutumie vyetu badala ya kuagiza nje?

Je ni kwamba tunatamani kudukua lakini uwezo hatuna?
Chumvi zipo za tz kibao tu mbona,sema kwenye za sabuni za mche tunayumba hapo inabidi tujipange sababu kwa Tz sabuni za mche zinazopendwa ni magadi pekee ila sabuni nyingine tofauti na magadi wakenya wametupiga gape kubwa( jamaa,white wash zinatisha sana).

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yaani viwanda vyetu vinashindwa kutengeneza sabuni yenye viwango sawa ama zaidi ya JAMAA, mpaka itegemee TISS ifanye interference?

Kwa nini usingeiaddress hili swala kwa viwanda vyetu kwamba vinafeli wapi kutengeneza famba za sabuni mpaka watu kulazimika kuinunua JAMAA?
 
Chumvi zipo za tz kibao tu mbona,sema kwenye za sabuni za mche tunayumba hapo inabidi tujipange sababu kwa Tz sabuni za mche zinazopendwa ni magadi pekee ila sabuni nyingine tofauti na magadi wakenya wametupiga gape kubwa( jamaa,white wash zinatisha sana).

Sent using Jamii Forums mobile app
Daah na white wash nayo ni ya kenya kumbe?
 
Kuna kitu huwa najifunza kwa wenzetu hasa wachina, vyombo vyao vya usalama moja kati ya kazi wanazifanya "wizi wa teknolojia" kutoka kwa mataifa mengine!

Lakini hapa kwetu naona nintofauti kidogo, je ni kwanini bidhaa za kenya zina dominate soko letu na sisi tupo tu?

Ukienda dukank sabuni utakuta jamaa!

Ukienda dukani chumvi utakuta ya kenya!

Je vyombo vyetu vya usalama vimeshindwa kudukua teknolojia zao na sisi tuzalishe tutumie vyetu badala ya kuagiza nje?

Je ni kwamba tunatamani kudukua lakini uwezo hatuna?
Usalama wapi na wapi kwenye Uzalishaji wa Bidhaa?

Tena kwenye ushindani?

Haya ni mawazo yale yaliyotaka Serikali ifanye Biashara halafu Sekta Binafsi zife!

By the way SABUNI YA JAMAA NI BRAND!!

BRAND NI KITU KINGINE kabisa unaongelea!

Ebu tulia halafu uandike tena pengine unayo hoja..!
 
Ila kuna muda hao jamaa huwa mnawabebesha mizigo isiyo na ulazima vipo vitu ambavyo ni kweli hasaa vinahitaji jambo hilo (high technology) mbona India vingi tu waliingia mikataba na nchi husika kufanya technological changes.

Walinunua diesel electric locomotives kutoka USA kwa EMD ila walipohitaji tena wakaongezea kipengele cha kubadilishana utaalamu na experts wengi watoke kwao na viundwe kwao liliwezekana.

Baadae walikuja fanya hivyo hivyo kwa kampuni ya General Electrics (GE). Leo hii wana mifumo yao ya kuongozea (control system) hadi wakabuni brake system yao.

Brazil nao katika ununuzi wa ndege zao Saab JAS 39 Gripen walitumia njia hiyo hiyo.

Ishu ni sera tu tulizo jiwekea na kuthothamini wataalamu tulionao ma 10 percent......
 
Kuna kitu huwa najifunza kwa wenzetu hasa wachina, vyombo vyao vya usalama moja kati ya kazi wanazifanya "wizi wa teknolojia" kutoka kwa mataifa mengine!

Lakini hapa kwetu naona nintofauti kidogo, je ni kwanini bidhaa za kenya zina dominate soko letu na sisi tupo tu?

Ukienda dukank sabuni utakuta jamaa!

Ukienda dukani chumvi utakuta ya kenya!

Je vyombo vyetu vya usalama vimeshindwa kudukua teknolojia zao na sisi tuzalishe tutumie vyetu badala ya kuagiza nje?

Je ni kwamba tunatamani kudukua lakini uwezo hatuna?
Vyombo vyetu vya usalama vipo bize kudukua simu yako kujua unawaza nini dhidi ya viongozi waovu.

Hayo ya domination ya sokola ndani kwa biashara za nje usikute hata wapo wanausalama ambao ni mawakala au wana hisa kwenye hizo deals
 
Ila kuna muda hao jamaa huwa mnawabebesha mizigo isiyo na ulazima vipo vitu ambavyo ni kweli hasaa vinahitaji jambo hilo (high technology) mbona India vingi tu waliingia mikataba na nchi husika kufanya technological changes.

Walinunua diesel electric locomotives kutoka USA kwa EMD ila walipohitaji tena wakaongezea kipengele cha kubadilishana utaalamu na experts wengi watoke kwao na viundwe kwao liliwezekana.

Baadae walikuja fanya hivyo hivyo kwa kampuni ya General Electrics (GE). Leo hii wana mifumo yao ya kuongozea (control system) hadi wakabuni brake system yao.

Brazil nao katika ununuzi wa ndege zao Saab JAS 39 Gripen walitumia njia hiyo hiyo.

Ishu ni sera tu tulizo jiwekea na kuthothamini wataalamu tulionao ma 10 percent......
Hawana ubavu wa kulinda soko.la.ndani
 
Back
Top Bottom