Usalama wa Taifa msaidieni Rais. Misamaha ya kodi ni chaka, TRA mpaka wizarani kunanuka rushwa

sifi leo

JF-Expert Member
Mar 30, 2012
5,013
8,369
Nina mengi nimeyatafakari Kwa kina, sana ndani ya Juma Ili nikaona,nisubili lifike mwisho naweza kufa na vihoro moyoni mwangu, Bora nife na dhambi kuliko vihoro maana dhambi ntahojiwa Na muumba!

Suala la polisi kuua Kwanza Panya Road linafikilisha sana kimsingi vijana wa Rika dogo wameuawa na ushaidi wa kutosheleza hauko, Rais wa nchi anaombwa aunde Tume ya Kijaji yeye maskio kaweka pamba.

Kama ilo halitoshi mauaji ya wananchi watu mkoani Mara wilaya ya Serengeti, nalo ni tukio kingine,sipingi yakuwa pengine yakuwa walio uawa ni majambazi ila swali linakuja JAMBAZI akikamatwa kabla ya kuuawa Kwa makosa yake lazima alazimishwe kufanya NGONO? Je yanayosambaa mtandaoni yakuwa alilazimishwa afanye zinaaa, (na mwanae), hayaonekani haya?

Je, walioua majambazi Serengeti watuelezee ni haki yabjambazi kabla hajafa afanye ngono?je kama Hana wa kufanya nae atalazimishwa ajifanye? No PGO ipi yatoa mwongozo wa namna Ile?

Matendo haya lazima niseme sisi watanzania ni vilaza tena vilaza wa kutupwa,Tanzania moja ya kazi zinazofanywa na watu WA ovyo Form four FELIA ni hii ya jeshi polisi,polisi wengi Tanzania ni FELIA. Hekima zao ni ndogo sana kira mmoja wetu anajua tunashimdwa kuwahoji polisi tunawaogopa Nini Ili hali tunawalipabsisi Kwa Kodi zetu?

Ushauri, vinyago tunavichonga wenyewe iweje vitipande?

Msamaha wa Kodi!

Lazima Kwa Ili nikili Mimi ni miongoni mwa vijana walio nufaika na msamaa wa Kodi uliopitishwa na Raisi, ila mchakato wake kimekuwa kichaka kikubwa cha rushwa kuanzia wizara ya fedha, mpaka ofisi ndogo za TRA, Sasa zimeenda mpaka Kwa wanahabari Ili watetee rushwa hizo Kwa lugha za kebehi kkwa viongozi wanao jaribu kutaka kujua hiyo misamaa imefanyikaje?

Mpina akiwa kijana pekee wa ccm anaejitanabaisha kutaka kuhoji ukweli wa mambo, dhidi ya msamaha. Wa TILIONI 360 za makinikia majibu aliyopewa ni TRAT na TRAB nyongeza ya majibu hayo ni Ya ya ya ya ya a ya ya kutoka kwa waziri wa fedha.

Kama haitoshi wizara ya fedha inatafuta waandiishi wa habari ambao masikini ya Mungu Mwendazake aliwaamini sana na kuwasifu kupitia vyombo vyao yaani wakina Balile na magazeti Yao ya Udaku Jamhuri, Ili waandike makala za kuwakei wanahoji dhidi ya Tilioni 360, hili nalo ni tatzo Tena kubwa.

Tunatakiwa kuambiwa zile Tilioni 360 zilikuwa miongoni mwa Kodi ambazo zilikuwa hazijalipwa na migodi yetu Kwa kipindi Cha nyuma chote?au ni kitu gani?au ni malipo ya gharama za thamani ya madini (makinikia yaliyokuwa yakibebbwa Kwa njia za wizi? Katika msamaha wa Kodi ulio tamkwa na Raisi umekuwa kichaka kikubwa cha kunufaisha watu,mbaya zaidi usalama wa Taifa mpo.

Sina mengi naishia hapa naomba muelewe tu. Nchi hii wenye nchi ni wananchi.

Usalama wa Taifa msaidieni Raisi ipasavyo ataliponya Taifa Hali ya maisha mtaani ni mbaya wenyewe na ho wanazidi kuongezewa Kwa njia za panya.
 
Una mawazo mazuri sana tatizo uandishi.
Hivi kaka yenu Pasco hajawafundisha hata koma, kituo na paragraph?
 
Nina mengi nimeyatafakari Kwa kina, sana ndani ya Juma Ili nikaona, nisubili lifike mwisho naweza kufa na vihoro moyoni mwangu, bora nife na dhambi kuliko vihoro maana dhambi ntahojiwa Na muumba!

Suala la polisi kuua Kwanza Panya Road linafikilisha sana kimsingi vijana wa Rika dogo wameuawa na ushaidi wa kutosheleza hauko, Rais wa nchi anaombwa aunde Tume ya Kijaji yeye maskio kaweka pamba.

Kama ilo halitoshi mauaji ya wananchi watu mkoani Mara wilaya ya Serengeti, nalo ni tukio kingine,sipingi yakuwa pengine yakuwa walio uawa ni majambazi ila swali linakuja JAMBAZI akikamatwa kabla ya kuuawa Kwa makosa yake lazima alazimishwe kufanya NGONO?je yanayo sambaa mtandaoni yakuwa alilazimishwa afanye zinaaa,(atombane na mwanae), hayaonekani haya?

Je, walio us majambazi Serengeti watuelezee ni haki yabjambazi kabla hajafa afanye ngono?je kama Hana wa kufanya nae atalazimishwa ajifanye?no PGO ipi yatoa mwongozo wa namna Ile?

Matendo haya lazima niseme sisi watanzania ni vilaza tena vilaza wa kutupwa,Tanzania moja ya kazi zinazofanywa na watu WA ovyo Form four FELIA ni hii ya jeshi polisi, polisi wengi Tanzania ni FELIA. hekima zao ni ndogo sana kira mmoja wetu anajua tunashimdwa kuwahoji polisi tunawaogopa Nini Ili hali tunawalipabsisi Kwa Kodi zetu?

Ushauri, vinyago tunavichonga wenyewe iweje vitipande?
Msamaa wa Kodi!

Lazima Kwa Ili nikili Mimi ni miongoni mwa vijana walio nufaika na msamaa wa Kodi uliopitishwa na Raisi, ila mchakato wake kimekuwa kichaka kikubwa cha rushwa kuanzia wizara ya fedha, mpaka ofisi ndogo za TRA, Sasa zimeenda mpaka Kwa wanahabari Ili watetee rushwa hizo Kwa lugha za kebehi kkwa viongozi wanao jaribu kutaka kujua hiyo misamaa imefanyikaje?

Mpina akiwa kijana pekee wa ccm anaejitanabaisha kutaka kuhoji ukweli wa mambo, dhidi ya msamaha. Wa TILIONI 360 za makinikia majibu aliyopewa ni TRAT na TRAB nyongeza ya majibu hayo ni Ya ya ya ya ya a ya ya kutoka kwa waziri wa fedha.

Kama haitoshi wizara ya fedha inatafuta waandiishi wa habari ambao masikini ya Mungu Mwendazake aliwaamini sana na kuwasifu kupitia vyombo vyao yaani wakina Balile na magazeti Yao ya Udaku Jamhuri, Ili waandike makala za kuwakei wanahoji dhidi ya Tilioni 360, hili nalo ni tatzo Tena kubwa.

Tunatakiwa kuambiwa zile Tilioni 360 zilikuwa miongoni mwa Kodi ambazo zilikuwa hazijalipwa na migodi yetu Kwa kipindi Cha nyuma chote?au ni kitu gani?au ni malipo ya gharama za thamani ya madini (makinikia yaliyokuwa yakibebbwa Kwa njia za wizi?katika msamaha wa Kodi ulio tamkwa na Raisi umekuwa kichaka kikubwa Cha kunufaisha watu,mbaya zaidi usalama wa Taifa mpo.

Sina mengi naishia hapa naomba muelewe tu. Nchi hii wenye nchi ni wananchi.

Usalama wa Taifa msaidieni Raisi ipasavyo ataliponya Taifa Hali ya maisha mtaani ni mbaya wenyewe na ho wanazidi kuongezewa Kwa njia za panya.
 
Usalama wa taifa haupo kwa ajili ya wanachi Bali kwa ajili ya CCM, Serikali yake na watu wachache tu ila siyo kwa ajili ya wananchi, kama kweli wapo Kuna upuuzi mwingi usingekuwa unatokea kwenye hii nchi.

Wanao uwezo wa kufanya kila hujuma zote takawa salama kama nchi shida ni kwamba usalama wa taifa, polisi na vyombo vingine Kuna namna wananufaika ndo maana unaona wako kmyaaaaa
 
TISS imepoteza mwelekeo,imekuwa ya kisiasa sana. Balile yule nae chenga tu,anapenda kujikomba kwa watawala na masifa mengi.
 
Nina mengi nimeyatafakari Kwa kina, sana ndani ya Juma Ili nikaona,nisubili lifike mwisho naweza kufa na vihoro moyoni mwangu, Bora nife na dhambi kuliko vihoro maana dhambi ntahojiwa Na muumba!

Suala la polisi kuua Kwanza Panya Road linafikilisha sana kimsingi vijana wa Rika dogo wameuawa na ushaidi wa kutosheleza hauko, Rais wa nchi anaombwa aunde Tume ya Kijaji yeye maskio kaweka pamba.

Kama ilo halitoshi mauaji ya wananchi watu mkoani Mara wilaya ya Serengeti, nalo ni tukio kingine,sipingi yakuwa pengine yakuwa walio uawa ni majambazi ila swali linakuja JAMBAZI akikamatwa kabla ya kuuawa Kwa makosa yake lazima alazimishwe kufanya NGONO?je yanayo sambaa mtandaoni yakuwa alilazimishwa afanye zinaaa,(atombane na mwanae), hayaonekani haya?je walio us majambazi Serengeti watuelezee ni haki yabjambazi kabla hajafa afanye ngono?je kama Hana wa kufanya nae atalazimishwa ajifanye?no PGO ipi yatoa mwongozo wa namna Ile?
Matendo haya lazima niseme sisi watanzania ni vilaza tena vilaza wa kutupwa,Tanzania moja ya kazi zinazofanywa na watu WA ovyo Form four FELIA ni hii ya jeshi polisi,polisi wengi Tanzania ni FELIA.hekima zao ni ndogo sana kira mmoja wetu anajua tunashimdwa kuwahoji polisi tunawaogopa Nini Ili hali tunawalipabsisi Kwa Kodi zetu?

Ushauri, vinyago tunavichonga wenyewe iweje vitipande?
Msamaa wa Kodi!

Lazima Kwa Ili nikili Mimi ni miongoni mwa vijana walio nufaika na msamaa wa Kodi uliopitishwa na Raisi, ila mchakato wake kimekuwa kichaka kikubwa Cha rushwa kuanzia wizara ya fedha, mpaka ofisi ndogo za TRA, Sasa zimeenda mpaka Kwa wanahabari Ili watetee rushwa hizo Kwa lugha za kebehi kkwa viongozi wanao jaribu kutaka kujua hiyo misamaa imefanyikaje?
Mpina akiwa kijana pekee wa ccm anaejitanabaisha kutaka kuhoji ukweli wa mambo, dhidi ya msamaha. Wa TILIONI 360 za makinikia majibu aliyopewa ni TRAT na TRAB nyongeza ya majibu hayo ni Ya ya ya ya ya a ya ya kutoka kwa waziri wa fedha.

Kama haitoshi wizara ya fedha inatafuta waandiishi wa habari ambao masikini ya Mungu Mwendazake aliwaamini sana na kuwasifu kupitia vyombo vyao yaani wakina Balile na magazeti Yao ya Udaku Jamhuri, Ili waandike makala za kuwakei wanahoji dhidi ya Tilioni 360, hili nalo ni tatzo Tena kubwa.

Tunatakiwa kuambiwa zile Tilioni 360 zilikuwa miongoni mwa Kodi ambazo zilikuwa hazijalipwa na migodi yetu Kwa kipindi Cha nyuma chote?au ni kitu gani?au ni malipo ya gharama za thamani ya madini(makinikia yaliyokuwa yakibebbwa Kwa njia za wizi?katika msamaha wa Kodi ulio tamkwa na Raisi umekuwa kichaka kikubwa Cha kunufaisha watu,mbaya zaidi usalama wa Taifa mpo.

Sina mengi naishia hapa naomba muelewe tu. Nchi hii wenye nchi ni wananchi.

Usalama wa Taifa msaidieni Raisi ipasavyo ataliponya Taifa Hali ya maisha mtaani ni mbaya wenyewe na ho wanazidi kuongezewa Kwa njia za panya.
sifi leo uko very depressed. Kama ndugu zako wako mbali wanaweza kuta umeshakufa. Yaani umechanganya mambo kuanzia Polisi, TRA, ubakaji, TISS mpaka mtu aelewee unataka nini anajikuta amepotea.
 
Sasa zimeenda mpaka Kwa wanahabari Ili watetee rushwa hizo Kwa lugha za kebehi kkwa viongozi wanao jaribu kutaka kujua hiyo misamaa imefanyikaje?
Hawa wamelambishwa asali. Balile aliomba vyombo vya habari binafsi vipewe matangazo ya serikali na waandishi wa habari wa vyombo binafsi waambatane na viongozi ktk ziara za nje.

Mama amefanya kama Balile alivyoomba. Waandishi kimyaaaaa. Kama wamekufa vile. Kazi yao sasa ninkuimba na kisifu tu
 
Balile ndio jina lingine Musiba?
Musiba ni yule jamaa dishi limeyumba na Balile ni mpiga domo fulani akiongea unaweza dhani ni mtu makini kumbe ni mchumia tumbo Pro.))
Tanzania kwenye tasnia ya habari wa kumwamini labda Jenerali Ulimwengu tu hawa wengine ni wazee wa kulamba asali.
 
Nina mengi nimeyatafakari Kwa kina, sana ndani ya Juma Ili nikaona,nisubili lifike mwisho naweza kufa na vihoro moyoni mwangu, Bora nife na dhambi kuliko vihoro maana dhambi ntahojiwa Na muumba!

Suala la polisi kuua Kwanza Panya Road linafikilisha sana kimsingi vijana wa Rika dogo wameuawa na ushaidi wa kutosheleza hauko, Rais wa nchi anaombwa aunde Tume ya Kijaji yeye maskio kaweka pamba.

Kama ilo halitoshi mauaji ya wananchi watu mkoani Mara wilaya ya Serengeti, nalo ni tukio kingine,sipingi yakuwa pengine yakuwa walio uawa ni majambazi ila swali linakuja JAMBAZI akikamatwa kabla ya kuuawa Kwa makosa yake lazima alazimishwe kufanya NGONO? Je yanayosambaa mtandaoni yakuwa alilazimishwa afanye zinaaa, (na mwanae), hayaonekani haya?

Je, walioua majambazi Serengeti watuelezee ni haki yabjambazi kabla hajafa afanye ngono?je kama Hana wa kufanya nae atalazimishwa ajifanye? No PGO ipi yatoa mwongozo wa namna Ile?

Matendo haya lazima niseme sisi watanzania ni vilaza tena vilaza wa kutupwa,Tanzania moja ya kazi zinazofanywa na watu WA ovyo Form four FELIA ni hii ya jeshi polisi,polisi wengi Tanzania ni FELIA. Hekima zao ni ndogo sana kira mmoja wetu anajua tunashimdwa kuwahoji polisi tunawaogopa Nini Ili hali tunawalipabsisi Kwa Kodi zetu?

Ushauri, vinyago tunavichonga wenyewe iweje vitipande?

Msamaha wa Kodi!

Lazima Kwa Ili nikili Mimi ni miongoni mwa vijana walio nufaika na msamaa wa Kodi uliopitishwa na Raisi, ila mchakato wake kimekuwa kichaka kikubwa cha rushwa kuanzia wizara ya fedha, mpaka ofisi ndogo za TRA, Sasa zimeenda mpaka Kwa wanahabari Ili watetee rushwa hizo Kwa lugha za kebehi kkwa viongozi wanao jaribu kutaka kujua hiyo misamaa imefanyikaje?

Mpina akiwa kijana pekee wa ccm anaejitanabaisha kutaka kuhoji ukweli wa mambo, dhidi ya msamaha. Wa TILIONI 360 za makinikia majibu aliyopewa ni TRAT na TRAB nyongeza ya majibu hayo ni Ya ya ya ya ya a ya ya kutoka kwa waziri wa fedha.

Kama haitoshi wizara ya fedha inatafuta waandiishi wa habari ambao masikini ya Mungu Mwendazake aliwaamini sana na kuwasifu kupitia vyombo vyao yaani wakina Balile na magazeti Yao ya Udaku Jamhuri, Ili waandike makala za kuwakei wanahoji dhidi ya Tilioni 360, hili nalo ni tatzo Tena kubwa.

Tunatakiwa kuambiwa zile Tilioni 360 zilikuwa miongoni mwa Kodi ambazo zilikuwa hazijalipwa na migodi yetu Kwa kipindi Cha nyuma chote?au ni kitu gani?au ni malipo ya gharama za thamani ya madini (makinikia yaliyokuwa yakibebbwa Kwa njia za wizi? Katika msamaha wa Kodi ulio tamkwa na Raisi umekuwa kichaka kikubwa cha kunufaisha watu,mbaya zaidi usalama wa Taifa mpo.

Sina mengi naishia hapa naomba muelewe tu. Nchi hii wenye nchi ni wananchi.

Usalama wa Taifa msaidieni Raisi ipasavyo ataliponya Taifa Hali ya maisha mtaani ni mbaya wenyewe na ho wanazidi kuongezewa Kwa njia za panya.
Je Tiss sio binadamu? Tusiwatazame kama malaika cha msingi tusiache kupiga kelele ipo siku zitasikika
 
Nina mengi nimeyatafakari Kwa kina, sana ndani ya Juma Ili nikaona,nisubili lifike mwisho naweza kufa na vihoro moyoni mwangu, Bora nife na dhambi kuliko vihoro maana dhambi ntahojiwa Na muumba!

Suala la polisi kuua Kwanza Panya Road linafikilisha sana kimsingi vijana wa Rika dogo wameuawa na ushaidi wa kutosheleza hauko, Rais wa nchi anaombwa aunde Tume ya Kijaji yeye maskio kaweka pamba.

Kama ilo halitoshi mauaji ya wananchi watu mkoani Mara wilaya ya Serengeti, nalo ni tukio kingine,sipingi yakuwa pengine yakuwa walio uawa ni majambazi ila swali linakuja JAMBAZI akikamatwa kabla ya kuuawa Kwa makosa yake lazima alazimishwe kufanya NGONO? Je yanayosambaa mtandaoni yakuwa alilazimishwa afanye zinaaa, (na mwanae), hayaonekani haya?

Je, walioua majambazi Serengeti watuelezee ni haki yabjambazi kabla hajafa afanye ngono?je kama Hana wa kufanya nae atalazimishwa ajifanye? No PGO ipi yatoa mwongozo wa namna Ile?

Matendo haya lazima niseme sisi watanzania ni vilaza tena vilaza wa kutupwa,Tanzania moja ya kazi zinazofanywa na watu WA ovyo Form four FELIA ni hii ya jeshi polisi,polisi wengi Tanzania ni FELIA. Hekima zao ni ndogo sana kira mmoja wetu anajua tunashimdwa kuwahoji polisi tunawaogopa Nini Ili hali tunawalipabsisi Kwa Kodi zetu?

Ushauri, vinyago tunavichonga wenyewe iweje vitipande?

Msamaha wa Kodi!

Lazima Kwa Ili nikili Mimi ni miongoni mwa vijana walio nufaika na msamaa wa Kodi uliopitishwa na Raisi, ila mchakato wake kimekuwa kichaka kikubwa cha rushwa kuanzia wizara ya fedha, mpaka ofisi ndogo za TRA, Sasa zimeenda mpaka Kwa wanahabari Ili watetee rushwa hizo Kwa lugha za kebehi kkwa viongozi wanao jaribu kutaka kujua hiyo misamaa imefanyikaje?

Mpina akiwa kijana pekee wa ccm anaejitanabaisha kutaka kuhoji ukweli wa mambo, dhidi ya msamaha. Wa TILIONI 360 za makinikia majibu aliyopewa ni TRAT na TRAB nyongeza ya majibu hayo ni Ya ya ya ya ya a ya ya kutoka kwa waziri wa fedha.

Kama haitoshi wizara ya fedha inatafuta waandiishi wa habari ambao masikini ya Mungu Mwendazake aliwaamini sana na kuwasifu kupitia vyombo vyao yaani wakina Balile na magazeti Yao ya Udaku Jamhuri, Ili waandike makala za kuwakei wanahoji dhidi ya Tilioni 360, hili nalo ni tatzo Tena kubwa.

Tunatakiwa kuambiwa zile Tilioni 360 zilikuwa miongoni mwa Kodi ambazo zilikuwa hazijalipwa na migodi yetu Kwa kipindi Cha nyuma chote?au ni kitu gani?au ni malipo ya gharama za thamani ya madini (makinikia yaliyokuwa yakibebbwa Kwa njia za wizi? Katika msamaha wa Kodi ulio tamkwa na Raisi umekuwa kichaka kikubwa cha kunufaisha watu,mbaya zaidi usalama wa Taifa mpo.

Sina mengi naishia hapa naomba muelewe tu. Nchi hii wenye nchi ni wananchi.

Usalama wa Taifa msaidieni Raisi ipasavyo ataliponya Taifa Hali ya maisha mtaani ni mbaya wenyewe na ho wanazidi kuongezewa Kwa njia za panya.
CCM MBELE KWA MBELE MAISHA YANASONGA
 
Nina mengi nimeyatafakari Kwa kina, sana ndani ya Juma Ili nikaona,nisubili lifike mwisho naweza kufa na vihoro moyoni mwangu, Bora nife na dhambi kuliko vihoro maana dhambi ntahojiwa Na muumba!

Suala la polisi kuua Kwanza Panya Road linafikilisha sana kimsingi vijana wa Rika dogo wameuawa na ushaidi wa kutosheleza hauko, Rais wa nchi anaombwa aunde Tume ya Kijaji yeye maskio kaweka pamba.

Kama ilo halitoshi mauaji ya wananchi watu mkoani Mara wilaya ya Serengeti, nalo ni tukio kingine,sipingi yakuwa pengine yakuwa walio uawa ni majambazi ila swali linakuja JAMBAZI akikamatwa kabla ya kuuawa Kwa makosa yake lazima alazimishwe kufanya NGONO? Je yanayosambaa mtandaoni yakuwa alilazimishwa afanye zinaaa, (na mwanae), hayaonekani haya?

Je, walioua majambazi Serengeti watuelezee ni haki yabjambazi kabla hajafa afanye ngono?je kama Hana wa kufanya nae atalazimishwa ajifanye? No PGO ipi yatoa mwongozo wa namna Ile?

Matendo haya lazima niseme sisi watanzania ni vilaza tena vilaza wa kutupwa,Tanzania moja ya kazi zinazofanywa na watu WA ovyo Form four FELIA ni hii ya jeshi polisi,polisi wengi Tanzania ni FELIA. Hekima zao ni ndogo sana kira mmoja wetu anajua tunashimdwa kuwahoji polisi tunawaogopa Nini Ili hali tunawalipabsisi Kwa Kodi zetu?

Ushauri, vinyago tunavichonga wenyewe iweje vitipande?

Msamaha wa Kodi!

Lazima Kwa Ili nikili Mimi ni miongoni mwa vijana walio nufaika na msamaa wa Kodi uliopitishwa na Raisi, ila mchakato wake kimekuwa kichaka kikubwa cha rushwa kuanzia wizara ya fedha, mpaka ofisi ndogo za TRA, Sasa zimeenda mpaka Kwa wanahabari Ili watetee rushwa hizo Kwa lugha za kebehi kkwa viongozi wanao jaribu kutaka kujua hiyo misamaa imefanyikaje?

Mpina akiwa kijana pekee wa ccm anaejitanabaisha kutaka kuhoji ukweli wa mambo, dhidi ya msamaha. Wa TILIONI 360 za makinikia majibu aliyopewa ni TRAT na TRAB nyongeza ya majibu hayo ni Ya ya ya ya ya a ya ya kutoka kwa waziri wa fedha.

Kama haitoshi wizara ya fedha inatafuta waandiishi wa habari ambao masikini ya Mungu Mwendazake aliwaamini sana na kuwasifu kupitia vyombo vyao yaani wakina Balile na magazeti Yao ya Udaku Jamhuri, Ili waandike makala za kuwakei wanahoji dhidi ya Tilioni 360, hili nalo ni tatzo Tena kubwa.

Tunatakiwa kuambiwa zile Tilioni 360 zilikuwa miongoni mwa Kodi ambazo zilikuwa hazijalipwa na migodi yetu Kwa kipindi Cha nyuma chote?au ni kitu gani?au ni malipo ya gharama za thamani ya madini (makinikia yaliyokuwa yakibebbwa Kwa njia za wizi? Katika msamaha wa Kodi ulio tamkwa na Raisi umekuwa kichaka kikubwa cha kunufaisha watu,mbaya zaidi usalama wa Taifa mpo.

Sina mengi naishia hapa naomba muelewe tu. Nchi hii wenye nchi ni wananchi.

Usalama wa Taifa msaidieni Raisi ipasavyo ataliponya Taifa Hali ya maisha mtaani ni mbaya wenyewe na ho wanazidi kuongezewa Kwa njia za panya.
Nijuavyo Mimi a serious and competent TISS ilianzia Awamu ya Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere na ikaishia katika Awamu ya Hayati Rais Mstaafu Mkapa.

TISS ya kuanzia Awamu ya Rais Mstaafu Kikwete hadi hii ya sasa ina 15% tu Watendaji Waadilifu, ila 85% ya Waliobakia ni very Corrupt and Uncouth kabisa.
 
Pascal sio kaka yangu Mimi ni mkwele wa mwanalumango wapi na wapi ila umeelewa mkuu, tafuta panado umeze.
Mkwele?
Nikiona tu mtu hata kabila lake au jina lake analiandika hivi basi hata yaliyomo kwenye andiko lake itakuwa ni takataka fulani.
Kama ni issue ya Trilioni 400, basi tunashukuru kwa kupoteza muda wako kuandika mambo ya kusadikika.
 
Back
Top Bottom