galaxy jose
Member
- Jun 19, 2019
- 5
- 9
Nina akaunti (ya biashara) katika benk fulani, nmekua nkipokea email zenye kunitaarifu nmeweka password isiyo sahihi ama nmejaribu kubadili password. Nilipowaeleza benki husika hakuna msaada wowote wa kitaalamu. Hivyo niliamua kutoa pesa zote na kuamishia kwenye account ya benk nyngne (ya mshahara) maana nnazo mbili
Msaada wenu JF, hii inaweza kuwa inasababishwa na nini, na nawezaje kulitatua hili tatizo
Msaada wenu JF, hii inaweza kuwa inasababishwa na nini, na nawezaje kulitatua hili tatizo