Bulamba
JF-Expert Member
- Sep 17, 2011
- 13,193
- 12,379
Salaam wakuu.
Niende moja kwa moja katika mada.Nilitengenezewa "Power of Attorney" na mwanasheria wangu.Ikabidi niende Wizara ya Ardhi kuisajili.
Nilifika pale nikalipia 53,000 kama gharama ya usajili na nikaambiwa nije baada ya wiki mbili.Sasa hivi imeshapita miezi miwili na nimeshaenda pale mara saba bila mafanikio.Kila siku wanasema bado.Lakini utakuta watu wengine wanakuja na kupata usajili papo kwa hapo.Je tunatapeliwa pale?
Nasikia wafanyakazi wa pale kwa makusudi kabisa huweka nyaraka pembeni mpaka utoe pesa.Inauma sana mtu kupoteza pesa za kulipia usajili na usajili hupati na pia kupoteza muda kila siku wa kufatilia nyaraka.Mh. LUKUVI tupia jicho hiki kitengo.Kimejaa rushwa na ubabaifu.Fukuza watu wa pale waje wapya.
Asante # CCM MPYA
Niende moja kwa moja katika mada.Nilitengenezewa "Power of Attorney" na mwanasheria wangu.Ikabidi niende Wizara ya Ardhi kuisajili.
Nilifika pale nikalipia 53,000 kama gharama ya usajili na nikaambiwa nije baada ya wiki mbili.Sasa hivi imeshapita miezi miwili na nimeshaenda pale mara saba bila mafanikio.Kila siku wanasema bado.Lakini utakuta watu wengine wanakuja na kupata usajili papo kwa hapo.Je tunatapeliwa pale?
Nasikia wafanyakazi wa pale kwa makusudi kabisa huweka nyaraka pembeni mpaka utoe pesa.Inauma sana mtu kupoteza pesa za kulipia usajili na usajili hupati na pia kupoteza muda kila siku wa kufatilia nyaraka.Mh. LUKUVI tupia jicho hiki kitengo.Kimejaa rushwa na ubabaifu.Fukuza watu wa pale waje wapya.
Asante # CCM MPYA