lutayega
JF-Expert Member
- Feb 29, 2012
- 1,288
- 552
Kuwa MwanaCHADEMA Leo!
CHADEMA ndicho chama pekee kikubwa cha upinzani ambacho kimekua na kinaendelea kukua kisiasa. Aidha CHADEMA ndicho chama cha upinzani chenye nguvu kuliko vyote Tanzania bara. Ingawa CHADEMA ni chama cha upinzani lakini pia ni chama tawala wilaya za Karatu na Kigoma Ujiji. Wengi wanaamini CHADEMA ndicho chama mbadala kinachotegemewa kukiondoa CCM madarakani. Hivyo basi uamuzi wako wa kujiunga na chama ni uamuzi wa kina, sahihi na wenye busara.
CHADEMA ndicho chama pekee kikubwa cha upinzani ambacho kimekua na kinaendelea kukua kisiasa. Aidha CHADEMA ndicho chama cha upinzani chenye nguvu kuliko vyote Tanzania bara. Ingawa CHADEMA ni chama cha upinzani lakini pia ni chama tawala wilaya za Karatu na Kigoma Ujiji. Wengi wanaamini CHADEMA ndicho chama mbadala kinachotegemewa kukiondoa CCM madarakani. Hivyo basi uamuzi wako wa kujiunga na chama ni uamuzi wa kina, sahihi na wenye busara.
Ada ya kujiunga na chama ni shilingi mia tano na ya Uanachama kwa mwaka ni shilingi elfu moja. Hata hivyo mnakaribishwa na mnahimizwa kuchangia zaidi ya hicho kiwango kama uwezo unao. Tutawasiliana nawe kwa barua-pepe kukueleza utaratibu wa kulipia ada.
Fuata maelekezo yafuatayo hapo chini ili nawe uweze kujivunia kuwa mwanaCHADEMA leo!
kwa maelekezo na fom ya uanachama Bonyezi hapa kujisajiri.