Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,691
- 218,209
Hali ndio kama mnavyoiona, kundi la akina mama limeomba kusajiliwa kidigital huko Shinyanga Mjini.
Uchunguzi wa awali unaonyesha kwamba kesi ya uongo ya Ugaidi inayayomkabili Mwenyekiti wa Chadema Mh Freeman Mbowe imechangia kwa kiwango kikubwa ongezeko la umati wa watanzania kujisajili kidigital.
Mungu ibariki Chadema.
Uchunguzi wa awali unaonyesha kwamba kesi ya uongo ya Ugaidi inayayomkabili Mwenyekiti wa Chadema Mh Freeman Mbowe imechangia kwa kiwango kikubwa ongezeko la umati wa watanzania kujisajili kidigital.
Mungu ibariki Chadema.