mugah di matheo
JF-Expert Member
- Jul 28, 2018
- 6,276
- 12,336
Mwamba ametambulishwa mchana huu, sasa vyura mkae mkao wa kupakatwa
Mwenda kwao Sio Mtumwa, Karibu nyumbani mwamba wa Lusaka.
Wakati mechi ya mwiso timu ya RS - Berkane ilishinda 4- 1 na Chama ndiye alikuwa man of the match.... Unadhani Chama ni Makombo? (Makambo) kwamba match nzima hakugusa hata mpira?Babu alieshindwa soka morocco chama clatous amerudi simba na atapewa jezi namba 17 hii ni aibu kwa soka la tanzania kurudisha wachezaji walioisha kiwango kama chama daaah simba ina vitu vya kuiga kwa yangaaaView attachment 2080712
Atalazimika kupigania namba yake!! Lazima m
Na mlivyokuwa mnampigia hesabu mpaka kushinda na Agent wake kila wakati, hamkujua kama ameshindwa soka huko Morocco?Babu alieshindwa soka morocco chama clatous amerudi simba na atapewa jezi namba 17 hii ni aibu kwa soka la tanzania kurudisha wachezaji walioisha kiwango kama chama daaah simba ina vitu vya kuiga kwa yangaaaView attachment 2080712
Wakitaka kujikuna matako nipo kwa ajili yaohaters mtawaambia nini Utopolo mwaka huu hambebi tena kombe. mtaishia kujikuna pumbu tu
Wakati mwingine amani na uhusuiano mwema na watu vinakufanya uvutiwe kuwa sehemu fulani kuliko nyingine. Sitarajii kwamba anakuja kufanya maajabu bali ni suala la maridhiano ya pande mbili kati ya simba na chama likiongozwa na 'upendo'. Simba wanapenda kuwa na chama, nae chama anapenda kuwa na simba.Babu alieshindwa soka morocco chama clatous amerudi simba na atapewa jezi namba 17 hii ni aibu kwa soka la tanzania kurudisha wachezaji walioisha kiwango kama chama daaah simba ina vitu vya kuiga kwa yangaaaView attachment 2080712
Acha hizo angekuwa anakuja yanga ungeandika hivi,kwanza huyu hajashindwa ameamua kwa matakwa yake kurudi na mara ya mwisho alikuwa man of the match kwenye mchezo wa ligi kuu aliocheza dakika 90,halafu huyu hajamfikia ubabu kama aucho.Babu alieshindwa soka morocco chama clatous amerudi simba na atapewa jezi namba 17 hii ni aibu kwa soka la tanzania kurudisha wachezaji walioisha kiwango kama chama daaah simba ina vitu vya kuiga kwa yangaaaView attachment 2080712
Wakitaka kujikuna matako nipo kwa ajili yao
Usilie bila leso utakula kamasi buree.Babu alieshindwa soka morocco chama clatous amerudi simba na atapewa jezi namba 17 hii ni aibu kwa soka la tanzania kurudisha wachezaji walioisha kiwango kama chama daaah simba ina vitu vya kuiga kwa yangaaaView attachment 2080712
UtOPoLo dot com,wavivu wa kufikiri, wavivu wa kung'amua ukweli,wavivu wa kufanya maamuzi sahihi kwa wakati muhafaka, wamebaki kupiga blaablaaa mitandaoni.Babu alieshindwa soka morocco chama clatous amerudi simba na atapewa jezi namba 17 hii ni aibu kwa soka la tanzania kurudisha wachezaji walioisha kiwango kama chama daaah simba ina vitu vya kuiga kwa yangaaaView attachment 2080712