Usaili wa TAA duu changamoto

Usaili wa TAA duu changamoto

Uongo gani Sasa au na ww ulifanya halaf ukaingia chaka ndio maana hutaki kukubali matokeo?
Haya twende taratibu niambie ni pepa gani hiyo waliuliza terminals za umeme then wakasisitiza ziwe in electrical use
 
Haya twende taratibu niambie ni pepa gani hiyo waliuliza terminals za umeme then wakasisitiza ziwe in electrical use
Rejea kwa mtoa mada alipoanzia maswali ameyaweka wazi usichoelewa Nini Sasa.
Unanifanya nipate stress Kama za walimu kufundisha watu vilaza.
 
Hahaaa.....

Maswali ya Security yalikuwa km ifuatavyo

1. What are the problems that can lead into poor research design?

2. Explain types of electronic security devices uses?

3. Narrate seven natural security barriers?

4. (Nimesahau)

5. What are disadvantages of direct observation? (on research perspective)

NB:- Hizo question mark zipo hivo hivo km zilivyo.
Daah
 
are
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 ukiambiwa gem gumu maanake ndio hiyo kila lakheri 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
area gani walitoa kwa ICT
 
me sijui ila ile mitihani naijua inavyokuwaga imesukwa kiroho mbaya kudadeki
Hahahahah wanachotaka usome pia uelewe field yako kama ni mtu wa kumeza tu unaweza ukapotea maana maswali yanafichwa na Dakika ni 40 maswali 4😅😅 Wajinga sana hawa jamaa.
 
Kakomae mwanangu gonga sana PRAC hapo ndo mziki ulipo fatilia humu kuna nyuzi za watu wa Hizo FANI mkuu wameeleza upite wapi katika saili za UTUMISHI.
powa powa chief, ila kama unaweza nisaidia kutupia link za hizo nyuzi itakuwa mzuka sana chief ingawaje nilicheki baadhi
 
Back
Top Bottom