ntamaholo
JF-Expert Member
- Aug 30, 2011
- 12,906
- 6,909
Habari wanajamvi.
Ukitembelea web ya Jeshi la Polisi kwa wale waliofanikiwa kuifungua, utakuta hot mbili, moja ni ya kuwajulisha wale walipita katika usaili na siku ya kuriport tayari kwenda kujifunza mafunzo ya uvumilivu na tangazo la pili ni tangazo la usaili kwa wale vijana wa form four 2011 na form six 2012 walikosa kushiriki usaili kwa sababu mbalimbali.
ninaambatanisha tangazo hilo, ili ikiwezekana kama unamfaham kija aliyeshindwa kushiriki basi atumie fursa hii kujiunga na jeshi la polisi kama alikuwa na ndoto hiyo.
Ukitembelea web ya Jeshi la Polisi kwa wale waliofanikiwa kuifungua, utakuta hot mbili, moja ni ya kuwajulisha wale walipita katika usaili na siku ya kuriport tayari kwenda kujifunza mafunzo ya uvumilivu na tangazo la pili ni tangazo la usaili kwa wale vijana wa form four 2011 na form six 2012 walikosa kushiriki usaili kwa sababu mbalimbali.
ninaambatanisha tangazo hilo, ili ikiwezekana kama unamfaham kija aliyeshindwa kushiriki basi atumie fursa hii kujiunga na jeshi la polisi kama alikuwa na ndoto hiyo.