Wadau naomba msaada tutani,niliomba nafasi ya Mhasibu Msaidizi,Umoja wa Ulaya!!!!
Leo wameniita kwenye usaili ijumaa saa 4:30, makao makuu ya umoja wao dsm mtaa wa mirambo!!
Wameniambia niende na kikokotozi (calcurator)
Naombeni msaada wenu kama ulishawahi piga nao usaili wa kazi yoyote!!
Asanteni sana.
Leo wameniita kwenye usaili ijumaa saa 4:30, makao makuu ya umoja wao dsm mtaa wa mirambo!!
Wameniambia niende na kikokotozi (calcurator)
Naombeni msaada wenu kama ulishawahi piga nao usaili wa kazi yoyote!!
Asanteni sana.