Usaili Tanzania Postal Bank(TPB)

Usaili Tanzania Postal Bank(TPB)

Mh. Ukiona manyoya... Ila ngoja nisubiri. Ebu nendeni tena haraka. Kabla hawajatutumia na sisi
 
wapumbavu hawa kwa nini tukituma sms zilikua haziendi hzo nafasi wapeni
mahawara zenu
shemeji zenu
wadogo zenu
wake zenu
nyumba ndogo zenu

Mim mgeni JF sasa nami niliapply ikafail. Kwa kusoma comment zenu navunjika mbavu!
 
Cha ajabu baada ya DEADLINE kuisha nimetuma zimekwenda fasta bin chapchap. Duh! Jaman kwel TZ yataka moyo.

kuna haja ya kumtuma le mutuz system aende na huko tpb awakumbushe majukumu kdg!
 
uKIWA NA UWEZO UTAPATA KAZI , MIMI NIPO BRANCHI MOJA HIV YA TPB NA NIMERIPOT HATA WIKI HAIJAISHA , HAO FREELANCERS WALIFANYIWA INTERV SIKU MOJA KABLA SIJAJA KURIPOTI NA WA HAPA BRANCH NILIPO TAYARI WALISHAKABIZIWA KWA SUPERVISOR WAO , THOUGH KUNA WENGINE HAWAKU KIZI VIGEZO , MAY BE WAMEKUITA ILI UJAZE NAFAI ZILIZOBAKI BUT WANGEKUPIGIA SIMU , TPB HAKUNA LONGO LONGO UKIWA UNAJUA UNAPATA KAZI...JIOI NJEMA...
 
wewe ndo walewale nyumba ndogo imejuaje ss hatuna uwezo bana! mda wenu utafika tu ngoja vita vianze
 
uKIWA NA UWEZO UTAPATA KAZI , MIMI NIPO BRANCHI MOJA HIV YA TPB NA NIMERIPOT HATA WIKI HAIJAISHA , HAO FREELANCERS WALIFANYIWA INTERV SIKU MOJA KABLA SIJAJA KURIPOTI NA WA HAPA BRANCH NILIPO TAYARI WALISHAKABIZIWA KWA SUPERVISOR WAO , THOUGH KUNA WENGINE HAWAKU KIZI VIGEZO , MAY BE WAMEKUITA ILI UJAZE NAFAI ZILIZOBAKI BUT WANGEKUPIGIA SIMU , TPB HAKUNA LONGO LONGO UKIWA UNAJUA UNAPATA KAZI...JIOI NJEMA...
Maswali yao yanakuwaje?hasa wanaangalia vigezo gan
 
Maswali yao yanakuwaje?hasa wanaangalia vigezo gan

maswali huwa ni ya kawaida sema wanataka uwe straight...mf ukiulizwa salary wanakwambia ukianza kusema according to ur nini sijui wanakudesqualify...wanataka straight uwatajie figure...mi nilifanya interview ya freelancer dar na kufanikiwa kupita...maswali yaliyokuwa yanaulizwa ni km why are u here, have u ever done sales b4...then anakupa kitu mf chupa ya maji anakwambia mkomvinsi ayanunue, au unaeza kuambiwa who are you...au what is ur salary expectation...na kitu cha msingi ni kuzijua product na services zao...google website yao utaona...isome na ielewe vzur tpb popote, Wadu acc na vtu ka hvyo....utapita ila mshahara sasa ndo shida inapokuja
 
maswali huwa ni ya kawaida sema wanataka uwe straight...mf ukiulizwa salary wanakwambia ukianza kusema according to ur nini sijui wanakudesqualify...wanataka straight uwatajie figure...mi nilifanya interview ya freelancer dar na kufanikiwa kupita...maswali yaliyokuwa yanaulizwa ni km why are u here, have u ever done sales b4...then anakupa kitu mf chupa ya maji anakwambia mkomvinsi ayanunue, au unaeza kuambiwa who are you...au what is ur salary expectation...na kitu cha msingi ni kuzijua product na services zao...google website yao utaona...isome na ielewe vzur tpb popote, Wadu acc na vtu ka hvyo....utapita ila mshahara sasa ndo shida inapokuja

Nashukuru na Mungu akubariki
 
Back
Top Bottom