Usaili Tanzania Postal Bank(TPB)

Usaili Tanzania Postal Bank(TPB)

Faraja yangu

Member
Joined
Apr 18, 2014
Posts
34
Reaction score
9
Habari wana JF,TPB walitoa tangazo la kazi kwa nafasi za freelancers na team leaders,nilituma maombi kwa e-mail lakini ilifail,lakini leo wamenitumia sms tano mfululizo za aina moja wakinihitaji kwenye usaili keshokutwa,pia wametoa namba zao kwa shida yoyote.Je,watakuwa kweli ni wao au watapeli wa mjini?Nisaidieni jamani
 
Habari wana JF,TPB walitoa tangazo la kazi kwa nafasi za freelancers na team leaders,nilituma maombi kwa e-mail lakini ilifail,lakini leo wamenitumia sms tano mfululizo za aina moja wakinihitaji kwenye usaili keshokutwa,pia wametoa namba zao kwa shida yoyote.Je,watakuwa kweli ni wao au watapeli wa mjini?Nisaidieni jamani

Kama wametoa namba zao kwa shida yoyote sasa shida c ndio hiyo so wacliana nao ikibidi nenda physically aka face 2 face.
 
we nenda tu. kuna watu wame-apply miaka-nenda-miaka-rudi hawajawahi hata kupigiwa simu za kitapeli.
 
Habari wana JF,TPB walitoa tangazo la kazi kwa nafasi za freelancers na team leaders,nilituma maombi kwa e-mail lakini ilifail,lakini leo wamenitumia sms tano mfululizo za aina moja wakinihitaji kwenye usaili keshokutwa,pia wametoa namba zao kwa shida yoyote.Je,watakuwa kweli ni wao au watapeli wa mjini?Nisaidieni jamani

Na mimi nimetumiwa hiyo sms kaka niende kwenye interview kesho kutwa
 
Habari wana JF,TPB walitoa tangazo la kazi kwa nafasi za freelancers na team leaders,nilituma maombi kwa e-mail lakini ilifail,lakini leo wamenitumia sms tano mfululizo za aina moja wakinihitaji kwenye usaili keshokutwa,pia wametoa namba zao kwa shida yoyote.Je,watakuwa kweli ni wao au watapeli wa mjini?Nisaidieni jamani

wapumbavu hawa kwa nini tukituma sms zilikua haziendi hzo nafasi wapeni
mahawara zenu
shemeji zenu
wadogo zenu
wake zenu
nyumba ndogo zenu
 
email zilifika ndugu zngu mi mwenyewe imetokea mara nyingi natuma emeil sehem zinagoma then nakuta nimekuwashortlisted. we nenda kapige interview hayo mengine utajua hukohuko
 
Zilifikaje wakati unaambiwa PERMANENT FAIL?
email zilifika ndugu zngu mi mwenyewe imetokea mara nyingi natuma emeil sehem zinagoma then nakuta nimekuwashortlisted. we nenda kapige interview hayo mengine utajua hukohuko
 
Cha ajabu baada ya DEADLINE kuisha nimetuma zimekwenda fasta bin chapchap. Duh! Jaman kwel TZ yataka moyo.
 
kaaaaaaaaaaaaaaaaz kwel kwel
c ajabu mashemej na vin'gast ndo wameitwa
chezea nchi yenye mlima mrefu kuliko yote ww
 
Back
Top Bottom