mwenye majina atuwekee jamvini basi
hivi Mwananchi si huwa lipo online?
lipo online
Mkuu lipo online japo kwenye ukurasa wenye majina haufunguki
Mbona nikiangalia online sioni page yenye majina.... Naomba link ya hayo majina
Mkuu nadhani mwenye gazeti angefanya msaada wa kuweka hapa
nielekeze nawekaje niwawekee
nielekeze nawekaje niwawekee
piga pucha utuwekee mkuu tutazoom. majina ya Babati ni gazeti la tar ngap?