Ukienda TIC, ukiwa unaagiza anyithing above 100mil, unapata msamaha wa import duty, pia TIC wanasimamia VAT defferment, yani VAT unakuwa unalipa kidogo kidogo ndani ya mwaka unaimaliza.
Hivyo kama uliagiza trucks zenye thamani ya 400mil, Import duty ni 25%, hapo unapata msamaha wa 100mil, pia VAT 18% ni 72mil, ambayo unaweza ilipa ndani ya mwaka mmoja kidogo kidogo.
Unalipa kodi huku trucks zipo kazini.