Usafiri wa Ungo !

Usafiri wa Ungo !

Joined
Dec 12, 2012
Posts
40
Reaction score
6
Ni utalaamu ambao umefichika ! Ungawekwa wazi kupatia watu wengi ajira kwani inawezekana ukawa na gharama nafuu ya uendeshaji, kinachotakiwa ni kuwa muangalifu usije ukashushwa chini na wenzako bila ridhaa yako !!!1
 
Walikuwa wakielekea mkoani mbeya kwenye msiba wa mama yao.Chanzo cha ajali ni mwenzao mmoja aliyekosea masharti kwa kugeuka nyuma wakati safari ikiendelea.
Wamedai hii ilikuwa ni mara yao ya pili kusafiri kwa ungo na wamekuwa wakitumia muda wa saa 1:30 kutoka singida mpaka mbeya.Vijana hao wanashikiliwa na polisi mkoani singida kwa mahojiano zaidi.SOURCE:ITV HABARI.
 
haya mambo yanakuwaje mkuu maana nahisi ni kama hayawezekani!
 
Nimewaona walikuwa wanachechemea halafu wana mabaka meusi kwenye mashavu,jamani hii ni hatari sana kumbe kuna watu wanaenjoy hivi kwenye safari zao utadhani wanatumia ndege???!!!
 
hivi huo usafiri nilisikia kuna mbunge fulani aliuruhusu iliishia wapi au ulikua upepo tu na umeshapita,Tz kila kukicha nafuu ya jana.
 
Nimewaona walikuwa wanachechemea halafu wana mabaka meusi kwenye mashavu,jamani hii ni hatari sana kumbe kuna watu wanaenjoy hivi kwenye safari zao utadhani wanatumia ndege???!!!

u hv made my day mkuu.
 
  • Thanks
Reactions: RR
Kumbe wachawi ni sisi wenyewe, ndio maana hatuendelei.!
 
mnhhh sijui hili taifa lkoje koje
'most primitive nation on earth'

Mimi nadhani hao ni wahalifu, wakaona waingie kwa gea ya ungo ili wasisulubishwe. Mimi niliiona hiyo ITV, ingawa hawakuonyesha hizo nyungo walizokuwa wakisafiria nazo!
 
Nimewaona walikuwa wanachechemea halafu wana mabaka meusi kwenye mashavu,jamani hii ni hatari sana kumbe kuna watu wanaenjoy hivi kwenye safari zao utadhani wanatumia ndege???!!!

zaidi ya fasti jeti!
 
Mimi nadhani hao ni wahalifu, wakaona waingie kwa gea ya ungo ili wasisulubishwe. Mimi niliiona hiyo ITV, ingawa hawakuonyesha hizo nyungo walizokuwa wakisafiria nazo!
Mimi mwenyewe nilipata mashaka kama yako.
 
Mimi nadhani hao ni wahalifu, wakaona waingie kwa gea ya ungo ili wasisulubishwe. Mimi niliiona hiyo ITV, ingawa hawakuonyesha hizo nyungo walizokuwa wakisafiria nazo!

Kama kweli wanaweza kusafiri kwa ungo wapewe nafasi kutuonesha.
 
Back
Top Bottom