The Listener
JF-Expert Member
- Feb 5, 2012
- 993
- 217
umedandia nini, maana wenzako kibao wanaachwa njiani na ticket ni kidogo!
mimi pia nimesafiri nalo jioni ya leo. Watu wengi wamebaki kamata lakini vituo vingine vyote limesimama na watu wamepanda. Nakubaliana na wewe kwamba ticketing system bado haijawa nzuri na inawabidi wavute kamba