kupe
JF-Expert Member
- Jul 26, 2012
- 1,035
- 326
Zibaki pikipiki za kawaida za maofisini na private . Lakini sio hizi za biashara ya kubeba watu. Hawa vijana waofanya hizi biashara bado hawaja qualify kubeba abiria na kuingia barabara kubwa na hawana heshina na barabara .na wengi wao wanavuta BANGI na kunywa VIROBA. Na kama zitaruhusiwa basi ziwe za nje ya barabara kubwa . Au ziishie huku vichochoroni.