Lucchese DeCavalcante
JF-Expert Member
- Jan 10, 2009
- 5,471
- 733
Wakuu hili tangazo nimekutana nalo pale Jangwani see breeze (Mbezi Beach) kuwa kuana huduma ya speed boat from there to Slipway (Masaki) sasa kwanini tusitumie the same idea tukaanzisha speed boat kubwa kama zile za kwenda Z'bar zikawa zinachukua abiria wanaoishi Mbezi beach, kunduchi beach, Tegeta, Boko, Bunju, Bahari beach n.k na kuwapeleka Slipway Masaki halafu from there wanakamata city basi to town?
Ningependa kutoa wito kwa mnaogombea Ubunge jimbo la Kawe hasa mamaa Halima Mdee hebu jaribu ku-capitalize hii idea uondoe kero ya foleni za magari kwa wakazi wa maeneo hayo...
Just an idea au mnasemaje wakuuu..
Ningependa kutoa wito kwa mnaogombea Ubunge jimbo la Kawe hasa mamaa Halima Mdee hebu jaribu ku-capitalize hii idea uondoe kero ya foleni za magari kwa wakazi wa maeneo hayo...
Just an idea au mnasemaje wakuuu..