georgeallen
JF-Expert Member
- Jun 3, 2011
- 4,118
- 1,868
Weeee, nani azame kwenye chumvi za kiafrika. Kama si kutapika basi kuharisha kunamhusuNyani Ngabu mbona usafi ni mwepesi sana na unawezekana tu.tatizo wadada wengi wanajisahau.wala haihitaji mambo ya kizungu kujiweka safi,yaani kuna vitu asilia tu mfano barafu kwa kuboreshea papuchi na kuondoa harufu.Pia kuna pozi za kuzuia harufu ambazo inatakiwa mtoto wa kike azijue yaani wala haihitaji uwe na pesa ili uwe msafi.
Yaani watu wakizama chumvini hawatoki ful burudani na mwanaume habanduki,akiondoka anarudi.
Chezea usafi wewe