Si mwanamke tu hata mwanaume sharti unukie vizuri, usinuke mdomo wala kwapa na miguu...
Watu wanatofautiana..Kuna mmoja hapa aliwahi kusema anapenda sana mke wake akivundika uvundo kwenye papuchi
https://www.jamiiforums.com/mahusiano-mapenzi-urafiki/472639-kupenda-harufu-ya-2.htmlMkuu Kaboom...mbavuuu zanguuuu
Harafu hua wanaona usafi uko upande mmoja tu kwa mwanamke wanasahau hata mwanaume msafi huleta hamasa.
MWANAMKE MSAFI MTAMU SANAAA,unaweza ukaenda round nyingi sana bila kumchoka kabisa.
uwezo upo buana khaaa....