wanaume wanaboa sana. the more unavyofanya kumfurahisha the more anavyokuona wewe mjinga fulani hivi.
ukiacha kuyafanya anaanza kutafuta visingizio lukuki vya kukukandamiza na hata kutoka nje.
hawana jema hata kidogo. na hawana mapenzi endelevu kama walivyowanawake. wapowapo tu leo anakupenda kesho anakuona hufai keshokutwa anakupenda sana yani hawasomekisomeki.
ningekuwa na uwezo ningeee......................................................
Kaedit ignore list yako. Tupia huko İD yake. Baaas. Mi mibweg.e ilokuwa inaniletea useng.e hata sijui kama inaexist....
tayari, wale vitimbakwiri wote nimeshajazamo. mi nna shida zangu nisikilize zao kwanini? wakantangazee sasa.
mkuu kweli wewe ni jiniaz, bila shaka wewe ndiwe masiah wa jf tukufuate tukusikilize.
kuoshwa kwa papuchi ni muhimu tena sana ikiwezekana unaifukiza na udi una smell aroma
Kutokana na maumbile yetu na joto la dar kukulu kakala za mchana kutwa si utavunda usipooshwa?
Hii mada hainihusu..kwani kuna kichuna mpya blaza?
Usisahau ujiniaz wangu nimeşpeshalaiz kwenye matumizi ya viungo vya jinsia pinzani tu. Ukinipeleka kwenye siasa kule dk 10 tu vibweg.e vya Lumumba vinakuwa vishanlambisha ban.
Hahahah ukiona homeboy wangu Kaizer hayupo jukwaani chunguza kwa makini utakuta kuna mmojawapo wa mabinti zetu pendwa atakuwa naye hayupo. Hapo majiniaz tunatumia mathematical induction kuprove beyond reasonable doubt kuwa hommie atakuwa anaifanyia usafi papuchi ya binti yetu.
Think OLESAIDIMU Think!!!!
Jamaa ni mtaalam wa kuosha papuchi kuliko wewe na utaalam wako wa kuquote post za videmu.
Eheeee namba moja hyo apo juzi tu kwenye thread moja hapa nliona wadau kadhaa wanasupport kuweka vidole kwente K,now you know....
Eti inajiosha automatic uongo mkubwa na uchafu tuu.
Lazima kitu kioshwe
Tunahitaji viongozi wanaothubutu kuiambia ukweli Marekani. Kwa Afrika Museveni amejaribu, japokuwa yeye huuma na kupuliza. Sioni uwendawazimu hapo.
kule siku hizi hakuna siasa tena kuna viroja badala ya hoja, you better be here the old friends bado wanaifanya kuwa sehemu bora kuwepo.
Hahahah keimamae walah... Papuchi inakakamaa kama zege? Ndo maana tigo inazidi kupanda chati kila uchao.
Huyo aliyeanzisha hiyo thread alifanikiwa kusema jinsia yake?
Kusema kweli sijawahi kuona likitu lenylooe sura 'mbaya kama papuchi lakini tamu kuliko tamu zote za dunia ukiziweka pamoja. Mdharau papuchi lazima atakuwa hanisi. Mungu aendelee kuzibariki papuchi zote Afrika Mashariki na kati. Aziepushe na maradhi na awanyime uchoyo wale wanaozimiliki.