Asprin
Platinum Member
- Mar 8, 2008
- 68,271
- 96,398
wanaume wanaboa sana. the more unavyofanya kumfurahisha the more anavyokuona wewe mjinga fulani hivi.
ukiacha kuyafanya anaanza kutafuta visingizio lukuki vya kukukandamiza na hata kutoka nje.
hawana jema hata kidogo. na hawana mapenzi endelevu kama walivyowanawake. wapowapo tu leo anakupenda kesho anakuona hufai keshokutwa anakupenda sana yani hawasomekisomeki.
ningekuwa na uwezo ningeee......................................................
Jamani mwanamke wa chuma, hapa mbona tunadiskashen usafi wa kikojoleo cha jinsia KE?