kumpima mtu kwa kumuona tu si sahihi kijana!!!!!!! Yapo mambo mengi sana. Je wajua wanalala wapi. Labda ni vibaka. Kama sifa kweli ya mwanamke awe amekamilika kwa vyote. Sijui wewe mwenzetu umebase nini hasa.
we mtoa mada umekurupuka,.au wewe mganda? ukiwa uganda wenyewe wanatamani watz girls walivyo wazuri na ni ukweli huo hauna pingamizi, tumezidiwa na waethiopia, wanyarwanda na south africa( kwa figures za maana) basi!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.