Usafi, Kujipenda, kwenda na wakati. Ma sister duu wa Uganda kwanza, Kenya mwisho Tanzania

attachment.php

 
usafi hauangaliwi kwa kuvaa wala kunukia manukato mazuri, ukitaka kumjua mtu msafi fika kwenye makazi yake sio ukutane nae barabarani, me namuunga mkono Lizzy uko sahihi bi-dada!
 
in East Africa watoto wakali ni watusi(rwanda) wakifuatiwa na watz.uganda na kenya ni bomu sana thats why wanajiremba mno .
 
aiseee hakuna wanawake wachafu kama waganda hakyanani hawa wakikualika majumbani kwao hutatamani hata kuwaona tena,yaani pfuuuuu waoneni tu njiani na hiyo mishepu yao dizaini ni noma.
 
Ningeendelea kukwesheni hako kakijirisachi kako ila hizo namba nikikuuliza wangapi kati yao unawajua in person..umefika makwao ukaona kweli ni wasafi na wanaanza kujali sehemu wanazolala kabla ya wanachovaa sidhani kama jibu litakua zaidi ya asilimia moja!Na hapo na ongelea jibu ambalo ni la kweli bila hata kujidanganya mwenyewe...so i'm out!

Duh, kweli research ni neno la kutamkwa tu! Siekuelewa theory na hypothesis zilitumika hapo kwa sababu hata sample size aliyoinesha hapo sijui kama inawakilisha kweli. Mi naona alienda viwanja vya usiku tu aka conclude. Ninavyowajua waganda walio wengi hujifunza kuvaa na usafi na wanapokuja hapa Tz. Mf. mzuri angalia wanapoingia mwaka wa kwanza vyuoni wakati wa exchange program ya wanafunzi wa vyuo vikuu.
 
Wabongo wakikubali wanatisha.Bali kuna wachache wanachakachua hawo ndio wanaharibu.Dada zetu wanapendeza sana miaka hii
 
dah! hakuna kitu hapa....:coffee:TZ wapo wenye sifa mara dufu:msela:
 
Mkuu umefanya utafiti wa kutosha?tueleze namna ulivyofanya utafiti wako!!
 
1 Ngozi
2 Usafi wa akili kichwani
3 Kuchukia Uchafu
NK

bro sio kweliii...kwa ukweli ma gal wa tz wanaongoza kwa usafiii,
mademu wengi wa kiganda hawajisafishi na majii most ni karatasi
mbili sio kwelii wana usafi wa akilii..most of them wanazidiwa na wabongo
labda kuvyaa vimini,kukaa uchiuchi na kucheza kimasoraa wanaweza kuwashinda wabongo,mademu wa kibongo wana ahibaa weweeeee
 
Back
Top Bottom