Wavuvi wa samaki katika Soko la Magogoni, Dar es Salaam wakiuza kitoweo hicho kwa wachuuzi baada ya kurejea kutoka kuvua. Kwa sasa samaki wadogo ndio wanaopatikana kwa wingi sokoni hapo. (Picha na Fadhili Akida).
Unaweza kususa kununua samaki....miguu tena mpaka sehemu waliyowekwa samaki?:angry:
Tanzania kila mtu anaendesha shughuli kivyake kwa kweli na watu wa profession mbali mbali hawatimizi wajibu wao hapo nilitegemea Maafisa wa Afya wawe wmeshafanya kazi lakini bureeeeeee kabisaaaaaaaaaa
Si afadhali hapo Magogoni. Ulishafika machinjioni Vingunguti? Basi kama una kinyaa nyama utaiona kama mama mkwe wako. Na pale kuna ma bwana/bibi afya kibao.