USA yaendelea kuichimba Tanzania

USA yaendelea kuichimba Tanzania

Kudeal na mabeberu hasa huyu beberu mkuu kunataka akili ya zaidi sana..

Ukisoma vizuri na ukawa unayajua matendo ya USA basi utagundua tayari ameshaunda kundi lingine la kigaidi Tanzania. Anachofanya sasa ni kutuandaa kisaikolojia ili kazi iendelee, tayari ana namna mbili za kuidestabilize Tanzania kupitia dini na siasa na target yake ni mikoa ya kusini na soon utasikia wakusini wanataka Taifa lao..
 
Tukikosolewa nje tunawaita mabeberu,ndani wasaliti tena wauwawe yaani utawala huu usiokosea unachochea utekaji na kuuwawa kwa watu ndani ya bunge hadi viunga vya white house!! Hili ni jambo hatari kufikia wakosoaji wanakimbilia nje mf. Lissu & zitto etc. Kesi za uhujumu uchumi nizao kisa hawamkubali malaika wa ujenzi.

Ukandamizaji ukizidi na maisha yakazidi ugumu,ajira zikakosekana,viongozi wakajiinua kifedha na kutesa wananchi,ubaguzi wawazi kikanda na wa kiitikadi kiasi sasa nikawaida kuambiwa hutapata kazi kamawewe sio CCM!! makundi yaliyokuwa yanaenda somalia na Kenya yatarudia njiani!!

Lazima tuache 'upumbavu sana' anaousemaga malaika mjenzi na kuilinda nchi yetu (kwakura) kwa kuondoa uongozi unaokandamiza,unaotesa na kudhulumu maisha ya yeyote asiyekuwa na hatia uongozi huo umelaanika nakamwe hautofanikiwa "RIP mama kabendera".

Haipaswi Marekani kuona na kumkemea kiongozi gaidi TZ anayedhulumu maisha ya waTz alafu sisi tunamkumbatia na kummpigia makofi tukiongozwa na viongozi waoga wadini huo ni ujinga sugu.
 
Hii ni political analysis. Sijaona muunganiko wa yaliyosemwa na hali halisi. Mfano BAKWATA na mswala ya armed organization. Walio na macho wakae mkao wa kula. Hapa kazi ipo
 
Binadamu ukimbana sana lazima atafute pa kutokea...
Kama wanajiona wamebanwa sana na kunyanyaswa tangu enzi ni wajibu wao kuungana na kuamua kujitetea...
Uvumilivu una mwisho! Unyanyasaji nao ufike sehemu ukomeshwe!

NB: Hivi umewahi kufikiria hali ingekuwaje kama yale maafa ya Majengo Moshi yangehushishwa na kiongozi wa imani ya upande wa pili???

Nipo nyuma ya harakati zozote zenye lengo la kuiondosha ccm na viongozi wake madarakani!
 
Daah, hatari

Yaani Taarifa zilivyoungwa ungwa bila ya kichwa wala miguu lakini ndo hivyo tena ujumbe ushatufikia, kuwa tunaandaliwa machafuko ya kidini. Mercenaries watauvaa utanzania na itaonekana watanzania wa dini ya kiislamu wanatekeleza ugaidi kwa sababu zilizo tajwa, kumbe Kaka Mkuu wa Dunia anataka la kwake lifanikiwe.

Viongozi kama mnasoma haya na mnaona trend ya mambo ilivyo, kuweni na utu na mfanye maamuzi yatakayoliokoa Taifa letu. Si mbaya kuwa na one term presidwaa na kujirudi kutekeleza masharti yao. Vita ni kitu kibaya sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Binadamu ukimbana sana lazima atafute pa kutokea...
Kama wanajiona wamebanwa sana na kunyanyaswa tangu enzi ni wajibu wao kuungana na kuamua kujitetea...
Uvumilivu una mwisho! Unyanyasaji nao ufike sehemu ukomeshwe!

NB: Hivi umewahi kufikiria hali ingekuwaje kama yale maafa ya Majengo Moshi yangehushishwa na kiongozi wa imani ya upande wa pili???

Nipo nyuma ya harakati zozote zenye lengo la kuiondosha ccm na viongozi wake madarakani!
Mbona jamaa kachana kitabu moro goro hapo na waziri akalia machozi kabisa na kumfukuza mshkaji?
 
Siku zote USA iko kwa maslahi yake kwanza,na hutumia udhaifu wa nchi wanayoilenga kufanya yao,na kwa kweli wakitaka kutuvuruga tunayo rasilimali kubwa,kwanza ni huo unaoitwa mfumo kristo,mfumo ulioanzishwa na wakoloni bila kujali mchanganyiko wa dini, na serikali zilizofuata hazikufanya la maana kuuondoa bali iliupalilia zaidi ikidhani uislam unahatarisha maslahi yao,matokeo yake wengi wa waislam kuwekwa pembeni kutoka mifumo rasmi hasa kwenye elimu,wajinga hawa walio wengi wakipigwa poropoganda kuwa tatizo lao ni wakristo ni rahisi kuingia kichwa kichwa,kifupi tupo katika hatari ya kweli ikiwa hawa jamaa watataka na awamu ya 5 ndio imewaongezea fursa.
Hii habari imenifanya nifikirie sana, hawa USA wanataka kuanzisha au wameshaanzisha chokochoko za kutuchafua Tanzania?

Ukiitazama hii habari, ukiitazama habari ya aliyechana Qur'an, ukija kusoma nyuzi za anaejiita Mcqueenen hapa JF. Ukifikiri ya Makonda kunyimwa visa, ukifikiri ya Watanzania kuondolewa kwenye bahati nasibu ya green card, ukifikiri ya World Bank, ukifikiri ya msaada wa silaha kutoka USA, ukifikiri ya Tanzania kutangazwa siyo salama sana kwa utalii.

Kwa yote hayo unaweza kuunganisha dots na kukuta tayari limeshapikwa na linangoja kupakuliwa tu.

Allah tulinde na wenye kutia wasiwasi kwenye nyoyo za watu. Allah tuepushe na shari na hassad zote, tunazoziona na tusizoziona.

Haya si madogo kwa kiwango chochote kile, inabidi serikali, wasio na dini na wenye dini, tuwe macho na kuwa na subira na tusifanye pupa kwa hizi fitna zinazoendelea.

Tusikubali kuchonganishwa.
 
Hii habari imenifanya nifikirie sana, hawa USA wanataka kuanzisha au wameshaanzisha chokochoko za kutuchafua Tanzania?

Ukiitazama hii habari, ukiitazama habari ya aliyechana Qur'an, ukija kusoma nyuzi za anaejiita Mcqueenen hapa JF. Ukifikiri ya Makonda kunyimwa visa, ukifikiri ya Watanzania kuondolewa kwenye bahati nasibu ya green card, ukifikiri ya World Bank, ukifikiri ya msaada wa silaha kutoka USA, ukifikiri ya Tanzania kutangazwa siyo salama sana kwa utalii.

Kwa yote hayo unaweza kuunganisha dots na kukuta tayari limeshapikwa na linangoja kupakuliwa tu.

Allah tulinde na wenye kutia wasiwasi kwenye nyoyo za watu. Allah tuepushe na shari na hassad zote, tunazoziona na tusizoziona.

Haya si madogo kwa kiwango chochote kile, inabidi serikali, wasio na dini na wenye dini, tuwe macho na kuwa na subira na tusifanye pupa kwa hizi fitna zinazoendelea.

Tusikubali kuchonganishwa.

Tulishajichonganisha wenyewe na kujiwashia moto... Kazi ya werevu ni kutia mafuta kwa vipimo vidogo vidogo!
 
Kudeal na USA kunahitaji vichwa smart sana. USA ndio muanzilishi, mmiliki na mfadhili wa makundi yote ya kigaidi duniani..
Makundi haya ya kigaidi yapo na yataendelea kuwepo kwa maslahi ya marekani na washirika wake..

Gas na mafuta ya Mtwara na Lindi ndio target kubwa ya USA, uelewa mdogo wa mambo, elimu duni, umasikini na matendo ya CCM ndio mtego USA anataka kuutumia sasa kumiliki pwani yote ya Kusini mwa Tanzania kuelekea Msumbiji na SA.

Wale jamaa wa kibiti ingekuwa wakati huu basi ingekuwa kundi hatari sana ambalo lingetusumbua likiwa backed na USA na hata USA marcenaricies wangeingia kupitia baharini na kuattack wakijifanya waislamu wa Kibiti. Lakini sasa naona USA ameamua kuja kivingine na kutupiga kitisho ili kuilazimisha diplomasia yetu kwake ilainike..Kifupi akulinde kwa malipo ya gas na mafuta
 
Back
Top Bottom