samurai
JF-Expert Member
- Oct 16, 2010
- 11,478
- 24,250
Kudeal na mabeberu hasa huyu beberu mkuu kunataka akili ya zaidi sana..
Ukisoma vizuri na ukawa unayajua matendo ya USA basi utagundua tayari ameshaunda kundi lingine la kigaidi Tanzania. Anachofanya sasa ni kutuandaa kisaikolojia ili kazi iendelee, tayari ana namna mbili za kuidestabilize Tanzania kupitia dini na siasa na target yake ni mikoa ya kusini na soon utasikia wakusini wanataka Taifa lao..
Ukisoma vizuri na ukawa unayajua matendo ya USA basi utagundua tayari ameshaunda kundi lingine la kigaidi Tanzania. Anachofanya sasa ni kutuandaa kisaikolojia ili kazi iendelee, tayari ana namna mbili za kuidestabilize Tanzania kupitia dini na siasa na target yake ni mikoa ya kusini na soon utasikia wakusini wanataka Taifa lao..
wanadai amezidisha mfumo kristo. Dah!