USA yaendelea kuichimba Tanzania

USA yaendelea kuichimba Tanzania

Mungu atatunusuru na hili. Mimi nahisi tatizo lao kubwa hawa jamaa juu ya hii issue mi kutaka sisi tutowe majeshi yaende Somalia. Kenya na allies wengine naona washachoka kupokea masanduku ya maiti. Hawa vichaa Alshabab na Alqaeeda tuwaachie kama walivyo. Lakini kwa dalili hizi nahisi kama hawa jamaa wanataka kutuletea zengwe kiaina!

Mimi siamini kama Waislam Tanzania kuwa wako institutionally radicalised. Wako tu individuals ambao wataendelea kuexist duniani kote kutoka kila dini. Suala la Bakwata ni kuwa kuna wasema kweli kina Shehe Ponda ambaye yuko vocalist rather than radicalised na naamini anayo right ya kujieleza.
Well said.

Marekani hana rafiki au adui wa kudumu. Wao wanachojali ni maslahi yao tu.

"You are either with us or you're against us".

Umri umenifundisha kuelewa, ili USA asikuzonge zonge inabidi umpe chochote akitakacho kwa masharti yake.

Lazima umpe vipaumbele katika miradi yako mikubwa na usimzuie na usimbadilishie masharti anayoyataka yeye anapotaka kuwekeza miradi yake mikubwa nchini kwako.

Major export ya USA ni Vita na machafuko Kwa faida yake.

Kubali tu akule, hapo utakuwa salama milele na atakulinda, kinyume na hayo, umeenda na maji!
 
Well said.

Marekani na takriban hana rafiki au adui wa kudumu. Wao wanachojali ni maslahi yao tu.

"You are either with us or you're against us".

Umri umenifundisha kuelewa, ili USA asikuzonge zonge inabidi umpe chochote akitakacho kwa masharti yake.

Lazima umpe vipaumbele katika miradi yako mikubwa na usimzuie na usimbadilishie masharti anayoyataka yeye anapotaka kuwekeza miradi yake mikubwa nchini kwako.

Major export ya USA ni Vita na machafuko Kwa faida yake.

Kubali tu akule, hapo utakuwa salama milele na atakulinda, kinyume na hayo, umeenda na maji!
Al shabaab wameshindwa ku operate TZ ni ukweli kuwa Waislamu TZ hawako supportive wa ugaidi kwa hiyo hawawezi ku operate bila ya local support.

Mchina aliyejifanya ana uwezo wa kujenga jela kubwa kwa kuwahifadhi Waislamu, Mungu kawaletea mtihani wake na kuwaonesha kama wana uwezo wa kuwahifadhi Waislamu kwa Malaki basi wawahifadhi na wagonjwa wa Corona Virus kwa Malaki pia!
 
Ni Jambo la kutafakari.

USA wanaitakia nini Tanzania? Mema au mabaya?
Siku zote USA iko kwa maslahi yake kwanza,na hutumia udhaifu wa nchi wanayoilenga kufanya yao,na kwa kweli wakitaka kutuvuruga tunayo rasilimali kubwa,kwanza ni huo unaoitwa mfumo kristo,mfumo ulioanzishwa na wakoloni bila kujali mchanganyiko wa dini, na serikali zilizofuata hazikufanya la maana kuuondoa bali iliupalilia zaidi ikidhani uislam unahatarisha maslahi yao,matokeo yake wengi wa waislam kuwekwa pembeni kutoka mifumo rasmi hasa kwenye elimu,wajinga hawa walio wengi wakipigwa poropoganda kuwa tatizo lao ni wakristo ni rahisi kuingia kichwa kichwa,kifupi tupo katika hatari ya kweli ikiwa hawa jamaa watataka na awamu ya 5 ndio imewaongezea fursa.
 
Hapo aliposema "its a matter of time! Anamaanisha eti eeeh.....
 
Dah!..noma Sana!

Hili sio la kupuuza.
 
Kwa kifupi wanasema kuna hatari ya hao jamaa kuanza kujilipua endapo Maghufuli atashinda urais kwa ngwe ya pili mwaka huu! wanadai amezidisha mfumo kristo. Dah!
Wakijilipua kwenye mikutano ya ccm Ni poa tu. Maana ndio tunaosikia kuwa mikutano yao inaruhusiwa na jeshi la police.

Vyama vingine hawaruhusiwi. Mm naona wakianza kujilipua ili wajilipuaji wafanikiwe Ni kwenda kwenye mikutano hiyo tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni Jambo la kutafakari.

USA wanaitakia nini Tanzania? Mema au mabaya?
Hivi hawatupendi au hawampendi?
Tanzania kwa siri sana hadi Afghanstan 2003 ilienda kupambana na vita ya ughaidi hata Kenya inatoa support sana tu but the theme ya hii habari ni political marginalization propagated by someone ,could likely lead the escalation becoming worse

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom