USA vs Russia: War in Ukraine

USA vs Russia: War in Ukraine

Kwa muendekezo wa hivi vita asilimia kubwa ya wataalamu wa hizo mazana matukufu ni Watakatifu Wamerekani wanaobonyeza .

Remote control kwenye mazana yao ya high technology. Baada ya UKRAINE kupata mafanikio makubwa imewapa Mori kubwa USA wazidi kuwaamini , hawa sio wale washenzi wavaa kubasi wa Afghanistan . Hivi vita vitachukua miaka zaidi ya 20.

Russia anapigana vita viwili Moja ya kuwekewa vikwazo vya uchumi na Moja ya kupigana na Ukraine achana na vita vya kuwekewa vikwazo . Utauza nini Ili ujenge uchumi wako.

Kuna saa itafika Russia ataishiwa SILAHA . Na pesa vile vile mbaya zaidi Hamna mzunguko wa hela . Hivi akipelekeshwa miaka miaka mitano itakuaje . MK 254 na Mtarimbo naombeni mje kujaza minofu please.
Mi naomba kujulishwa wananchi wanaoishi URUSI wana hali gaani kiuchumi , na wana maoni gaani dhidi ya kile kinachoendelea nchini kwao.?
 
Sijuo ni ulimbukeni,au ujinga au kujifanyisha hivi Nchi inayoogopwa na USA yenyewe ndio Leo ije ipogwe na Ukraine?.

Nchi iliyoogopeka Duniani na kusababisha mataifa zaidi ya 40 yenye uchumi mkubwa Duniania kuungana kijeshi dhidi yake ndio Leo ije iishiwe silaha.

Nchi iliyosababisha mdororo wa uchumi Duniani,kutokana na kuhitajika kwake Leo ndio iishiwe slaha??

Hata kama hukipendinkitu Fulani au MTU Fulani basi at least tambua uwezo wake.
Russia alikuwa anapewa sifa za uongo... Hii vita imemvua nguo... Ukraine anamwangaisha mpaka makamasi.... Hiv akiingia mtumbad mwenyewe(USA) Itakuwaje... Watu wengi wamekalili Russia bila nuke ni sawa na Rwanda tu....
 
Masuala mengine yanaenda kwa mahesabu ya kawaida. Nashindwa kuelewa uelewa wa watu ni mdogo sana ujinga ukakithiri sana, nashindwa kuelewa!

Hakuna ambaye anayemchukia Ukraine. Ila haipingiki na ukweli kuwa Ukraine haitoweza kushinda. Kwa ithibati/fact wala sio maoni. Labda tusukumwe na mtikisiko wa Ngoswe penzi kitovu cha uzembe.

Ikitamkwa operation; kijeshi inakuwa ni yenye malengo maalumu kwa ajili ya kutimiliza kazi/wajibu fulani. Kwa misingi hiyo baadhi ya matumizi ya silaha, nguvu na maeneo ya mashambulizi yanadhibitiwa kwa sababu haupo kwenye vita bali upo kwenye jukumu maalumu la kutekeleza wajibu fulani. Hiki ndicho ambacho kinachofanyika Ukraine. Si ajabu baadhi ya miji haijaguswa kabisa.

Labda ujijibu kwa kutafakari: Hakuna ambaye asiyeijua nguvu ya kijeshi ya US. Hakuna asiyeijua nguvu ya kijeshi ya UK n.k yeyote akiamua kufanya mashambulizi yake ni maafa. Lakini UK yupo nyuma ya Russia, France ipo nyuma ya Russia, Poland ipo nyuma ya Russia n.k na hii ni kwa mujibu wa takwimu za kiulimwengu za kijeshi ya kuwa Russia kwa nguvu ya kijeshi ya kidunia ni 2 nyuma ya US.

Pentagon ilisema Russia inatumia 15% ya nguvu yake ya kijeshi nchini Ukraine. Ikiwa hizo nchi nyenginezo ambao ni washirika wa US tunafahamu nguvu zao za kijeshi na maafa watakayoyafanya lakini takwimu zinasema wapo nyuma ya Russia, tumeshawahi kujiuliza swali kama hili? Vipi kama Russia akiamua kutumia nguvu yake yote ya kijeshi Ukraine itakuwa katika hali gani?

Ikifikia hii hatua ni vita hiyo! Pengine tumesahau labda tujikumbushe. Georgia ni tofauti na Ukraine. Lakini ilitangaziwa vita na Russia. Matokeo yake ndani ya juma Georgia ikapigwa! Haikuwa operation kwao Russia bali ni vita. Hofu yangu ni kuwa ikiwa haya malengo ya Russia yakishindwa kufanikiwa kwenye hii operation yake itamlazimu atumie nguvu ya ziada ambayo ni vita.

Tusijihadae kwa upuuzi na ujinga ujinga mwingi. Kwa hali ya namna yoyote itakavyokuwa Ukraine ana wakati mgumu sana mbeleni. Na maadamu ni vita ya uchumi imeingia tena: Ikiwa hii operation itachukua muda mfupi atakayeathirika kiuchumi zaidi ni Russia. Ikiwa hii operation itachukua muda mrefu atakayeathirika zaidi ni watesi wake waliyomuwekea vikwazo ambao ni EU. Kwa misingi hiyo huu mchezo unahitaji mahesabu ya hali ya juu!
Na wewe acha mahaba Russia ndo kashapigwa na anapigwa anakimbizwa mpaka border kwake... Russia mikwala tu hamna kitu
 
We mpumbavu namba moja, yani hakuna jeshi lisiloungana na Ukraine we kwa akili yako unahisi hio counter attack wanaifanya Ukraine? Kwa silaha zipi? Hapo wemepewa nguvu na NATO na silaha toka NATO washirika.

Ila still Russia ni mwanaume sababu amewakung'uta sana Ukraine wakishirikiana na NATO kwa muda mrefu mpaka wakaomba assist ya silaha NATO
Unajua asilimia kubwa ya humu ndani sababu ya Russia kupambana na Ukraine hawaijua. Ila wao wameyajua yale yaliyozungumzwa baada ya huu mgogoro kuzuka.

Muhimu tuwapatie kalamu na daftari kisha watuandikie wanayoyajua wao kiini cha huu mzozo ni nini? Baada ya hapo ndipo tutaingia nao kwenye mjadala.

Uzuri hatuna udikteta, hivyo tuwaambie karibuni.
 
Kuna Prof. mmoja alikuwa anasema; hii ngozi ya mtu mweusi mwafrika athari ya kitu inaipima baada ya hicho kitu kumchoma na kumuunguza kabisa kwenye ngozi.

Juzi Ukraine imefanyiwa mashambulizi kwenye mitambo yake ya kufua umeme nchini mwake. Shambulizi ambalo limetendeka kwa saa kadhaa matokeo yake 50% ya nchi ipo gizani. Kwa tafsiri nyengine ni kuwa hakushindwa kuifanya 100% ya Ukraine iwe gizani.

Inakubidi utafakari! Ikiwa kama mifumo yako ya ulinzi ya anga imeshindwa kuinusuru nchi isiwe gizani mfumo wa nishati ndani ya nchi usididimie kwa tafsiri nyengine kashambulia alipopataka na adui yako kafanikiwa. Tafsiri yake ni kuwa anao uwezo wa kupiga pengine pasipo wewe kuweza kupadhibiti. Kwa sababu ameonyesha anao uwezo wa kupiga anapopataka na mifumo yako ikashindwa kudhibiti.

Adui wa namna hii si dhaifu! Anakutaka utafakari. Siku akikunjuka dunia msije mkapiga kelele mkasema ana roho mbaya!
Sasa vita utapiga miundombinu ya raia?
Russia kakosa dira ndio maana vita hii anapigwa huko Ukraine umeshasikia Russia anamlalamikia Ukraine anapiga hospital au shule?.... Ukraine anapiga jeshi la Russia ndio maana wanakimbia kipigo
 
Sijuo ni ulimbukeni,au ujinga au kujifanyisha hivi Nchi inayoogopwa na USA yenyewe ndio Leo ije ipogwe na Ukraine?.

Nchi iliyoogopeka Duniani na kusababisha mataifa zaidi ya 40 yenye uchumi mkubwa Duniania kuungana kijeshi dhidi yake ndio Leo ije iishiwe silaha.

Nchi iliyosababisha mdororo wa uchumi Duniani,kutokana na kuhitajika kwake Leo ndio iishiwe slaha??

Hata kama hukipendinkitu Fulani au MTU Fulani basi at least tambua uwezo wake.
nchi 40 zimeungana kijeshi? unajua unachokiongea wewe? ukraine wamepewa tu silaha za kawaida za kumzuia urusi asifanye mashambulizi ila sio za kumpiga, Us akitoa silaha za kumpiga mrusi patachimbika mzee
 
Sijuo ni ulimbukeni,au ujinga au kujifanyisha hivi Nchi inayoogopwa na USA yenyewe ndio Leo ije ipogwe na Ukraine?.

Nchi iliyoogopeka Duniani na kusababisha mataifa zaidi ya 40 yenye uchumi mkubwa Duniania kuungana kijeshi dhidi yake ndio Leo ije iishiwe silaha.

Nchi iliyosababisha mdororo wa uchumi Duniani,kutokana na kuhitajika kwake Leo ndio iishiwe slaha??

Hata kama hukipendinkitu Fulani au MTU Fulani basi at least tambua uwezo wake.
USA angekuwa na akili kama za Urusi sijui km ungekuwa unatype kwa amani ss hv , USA hata akifanya mashetani yake basi huangalia stability ya dunia , ila Urusi hajali hilo
 
Russian tunakubali rank second in terms of military power ndio maani tunashangaa siku tatu had passed bila kumkumbatia Ukraine
Discard or take it in there is a serious gaps/problem within Russia command line and it's tech doesn't get well with the tactics they are using kwa Vita hii.

Mavifaru forming 65 km chain to Kiev can you ask those robotic Russian generals didn't they first evaluate the impact of juvenile?...ona Ukraine akauacha msafara usonge ila msafari vanished.

Ukweli utabaki palepale Russia is a super power with no integrity leadership from executives to military personnel

I believe Ukraine will not be able to defend the entire regained territories...no wazi they will face some sort of logistic problems but if they have local civilian support in regained territories Russia will have to consider full escalation of this war to win back the trust and so the territories.

Urusi lazma afunguke kweli kweli otherwise she gonna be a loser
Russian is not second in military power anymore. Old age tech and WWII tacticts wont help.
Ukraine anaendelea ku receive misaada ya silaha day in day out . Watazid kuimarika . Hii vita itavhukua muda kuisha
 
We mpumbavu namba moja, yani hakuna jeshi lisiloungana na Ukraine we kwa akili yako unahisi hio counter attack wanaifanya Ukraine? Kwa silaha zipi? Hapo wemepewa nguvu na NATO na silaha toka NATO washirika.

Ila still Russia ni mwanaume sababu amewakung'uta sana Ukraine wakishirikiana na NATO kwa muda mrefu mpaka wakaomba assist ya silaha NATO
Ukisema russia amewapiga NATO na ukraine you sound un-logical.
Nchi zote za NATO zinge tuma wanajeshi wake officialy kwa ardhi ya ukraine. Tena wangekuwa front. Halafu russia awa kung'ute sawasawa hapo ndio ungesema russia ni mwanaume.
Nato walichotuma ni silaha tu. Watumiaji ukraine.. hajawatuma troops
 
Ukisema russia amewapiga NATO na ukraine you sound un-logical.
Nchi zote za NATO zinge tuma wanajeshi wake officialy kwa ardhi ya ukraine. Tena wangekuwa front. Halafu russia awa kung'ute sawasawa hapo ndio ungesema russia ni mwanaume.
Nato walichotuma ni silaha tu. Watumiaji ukraine.. hajawatuma troops
Sawa Kanali Schevekensi
 
Russian is not second in military power anymore. Old age tech and WWII tacticts wont help.
Ukraine anaendelea ku receive misaada ya silaha day in day out . Watazid kuimarika . Hii vita itavhukua muda kuisha
Be blessed
 
Njia Moja Ukraine
Screenshot_2022-09-16-17-52-04-119_org.wikipedia.jpg
 
Volodymyr Zelensyy said he made a lot of mistakes

easternherald.com

Feb 24, 2023 9:14 PM

Volodymyr Zelensyy said he had made enough mistakes

Ukrainian President Volodymyr Zelenskyy said he had made enough mistakes. He spoke about it during his press conference, but clarified that he had not made fatal errors that could lead to the death of the state.

In his speech, Volodymyr Zelenskyy pointed out that he works from morning to night, so he makes enough mistakes. In addition, at the conference, he said that Ukraine is ready to negotiate with Russia only on the basis of the five components of the Ukrainian “peace formula”. These include punishment, protection of life, restoration and safety guarantees, and determination.

Previously, US Secretary of State Anthony Blinken opposed a temporary ceasefire in Ukraine. The official said Russia is using any pause to prepare for subsequent attacks. At the latest meeting of the UN Security Council, Blinken said Security Council members should not believe in the “false equation” of a ceasefire and hostilities.
 
Volodymyr Zelensyy said he made a lot of mistakes

easternherald.com

Feb 24, 2023 9:14 PM

Volodymyr Zelensyy said he had made enough mistakes

Ukrainian President Volodymyr Zelenskyy said he had made enough mistakes. He spoke about it during his press conference, but clarified that he had not made fatal errors that could lead to the death of the state.

In his speech, Volodymyr Zelenskyy pointed out that he works from morning to night, so he makes enough mistakes. In addition, at the conference, he said that Ukraine is ready to negotiate with Russia only on the basis of the five components of the Ukrainian “peace formula”. These include punishment, protection of life, restoration and safety guarantees, and determination.

Previously, US Secretary of State Anthony Blinken opposed a temporary ceasefire in Ukraine. The official said Russia is using any pause to prepare for subsequent attacks. At the latest meeting of the UN Security Council, Blinken said Security Council members should not believe in the “false equation” of a ceasefire and hostilities.
Aiseeeeeeeeeeeeeeeeee
Russia Ni kiboko
 
Russia bila nyuklia ni sawa na jeshi la msubiji.
Afunguke full mziki huyo Russia Kama ana huo udhubutu
Kumbuka Ukraine amepewa HIMARS ambazo they just hit within 70 km.
Vipi akipewa long range kombora akipiga civilian infrastructure within Russia?

Kwa kufupi Russian PUTIN anaogopwa kwa nyuklia tu
Naunga mkono hoja.
 
Russia bila nyuklia ni sawa na jeshi la msubiji.
Afunguke full mziki huyo Russia Kama ana huo udhubutu
Kumbuka Ukraine amepewa HIMARS ambazo they just hit within 70 km.
Vipi akipewa long range kombora akipiga civilian infrastructure within Russia?

Kwa kufupi Russian PUTIN anaogopwa kwa nyuklia tu
Hii Ni sawa na kusema, Jirani yangu bila hela aliyo nayo benki Ni maskini kama Mimi tu. Kinacho msaidia Ni wingi wa hela iliyoko benki.

Kwahiyo hiyo nyuklia Ni yake siyo yake.??!!! BTW kinacho ipa nchi military superiority Ni zana alizo nazo, nyuklia ikiwemo. US mwenyewe aliitumia kukomesha ubishi wa wajapani.
 
Kwa muendekezo wa hivi vita asilimia kubwa ya wataalamu wa hizo mazana matukufu ni Watakatifu Wamerekani wanaobonyeza.

Remote control kwenye mazana yao ya high technology. Baada ya UKRAINE kupata mafanikio makubwa imewapa Mori kubwa USA wazidi kuwaamini, hawa sio wale washenzi wavaa kubasi wa Afghanistan. Hivi vita vitachukua miaka zaidi ya 20.

Russia anapigana vita viwili Moja ya kuwekewa vikwazo vya uchumi na Moja ya kupigana na Ukraine achana na vita vya kuwekewa vikwazo. Utauza nini Ili ujenge uchumi wako.

Kuna saa itafika Russia ataishiwa SILAHA. Na pesa vile vile mbaya zaidi Hamna mzunguko wa hela. Hivi akipelekeshwa miaka miaka mitano itakuaje. MK 254 na Mtarimbo naombeni mje kujaza minofu please.
Mkuu miaka mitano tena? mwaka mmoja tu imebidi atumie mpaka makundi ya kigaidi Wagner group, wafungwa na vijana wa miaka 18-50, hiyo miaka 5 ata kutakuwa na nchi tena iitwayo russia?
 
Kwa muendekezo wa hivi vita asilimia kubwa ya wataalamu wa hizo mazana matukufu ni Watakatifu Wamerekani wanaobonyeza.

Remote control kwenye mazana yao ya high technology. Baada ya UKRAINE kupata mafanikio makubwa imewapa Mori kubwa USA wazidi kuwaamini, hawa sio wale washenzi wavaa kubasi wa Afghanistan. Hivi vita vitachukua miaka zaidi ya 20.

Russia anapigana vita viwili Moja ya kuwekewa vikwazo vya uchumi na Moja ya kupigana na Ukraine achana na vita vya kuwekewa vikwazo. Utauza nini Ili ujenge uchumi wako.

Kuna saa itafika Russia ataishiwa SILAHA. Na pesa vile vile mbaya zaidi Hamna mzunguko wa hela. Hivi akipelekeshwa miaka miaka mitano itakuaje. MK 254 na Mtarimbo naombeni mje kujaza minofu please.
Leo miaka mingapi iran iko ban na inapeta?

Sent from my TECNO BC2c using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom