TUJITEGEMEE
Platinum Member
- Nov 6, 2010
- 27,504
- 28,436
Wafuatiliaji wa mjadala huu nawakumbusha kuwa 'hiyo' drone iliyodunguliwa ni ya anga za juu (high altitude drone), haionekani kirahisi (stealth), pia nyongeza ya hapo ni kwa drone hiyo ilizima transponders zake ili isishutukiwe kunyata kwake. Kwa maneno mengine ilikuwa na 'three levels of protection'. Muiran kupitia ulinzi wake wa Anga amevunja levels zote tatu na 'kuishusha' drone ya US.Hakutegemea kama Iran wangethubutu kufanya waliyofanya!!!!!!
Kwanini sasa Marekani inaogopa vita?,hahahMi ndo nakwambia, hakuna cha vita. Watu wameshaona Marekani anaogopa vita. Wakisema waingie vitani Iran itaangamia sana. Iran anataka kujifanya kama Korea kaskazini tu.
Teh teh teh kweli mnajua kujitekenya na kucheka wenyewe.Kamulize Natanyahau drone yake iluangushwa au haikuangushwa alipo enda anga la Iran, au Natanyahu kasahau.
Hebu tazama aibu hi sijui Trump ataificha wapi.
Siri ya Trump kuzia leo mashambuli ni sababu Pilot aliye kuwa kiongozi wa zile fleet za F16 kuona Raddar Jamming system inamuonyesha kuwa Radar ya Iran hajawezia kuijam ni power full na yeye option zake ni ndogo aingie kichwa kichwa au vipi. Ndio hapa control room wakabidi wawaulize pentagoni,wa go fwd au wasubiri kwanza. Trump akaona bora asisogeze pua.
Ohoo kumbe hujui mkuu hiyo unayolipa wewe ni kwa nafasi yako tu sehemu kubwa washalipa serikali na donors wakubwa. Muulize mtu alie nchi zilizoendelea amabako hakuna donors jinsi medical services zilivo ghali.Najilipia mwenyewe kwa jasho langu.
Kumbe ni zaidi mimi najuaga afya tu. Hivi kuna NGOS za China au Russia zinazotoa misaada duniani.sio huduma ya afya tu, umeme , maji, nk
Umeanza FIX sasaKuna broo wangu yuko Iran kimafunzo ya jeshi nitamuuliza anitonye hali ya mambo ya nguvu ya Iran kijeshi
Kuna wakati utapotea kabisa humu yaani utaingia kabisa mitini. It's only a matter of time.Kwa taarifa yako Marekani huwa hapigi mahali ambapo jamaa wana uwezo wa kurudishia!!!!!! Ndege yao ya kijeshi isiyo na ruban " US Navy MQ-4C Triton drone" waliyoituma kufanya ujasusi juu ya Iran "haikurudi"!!!!! Na hii ni vresion mpya kabisa yenye dhana za kujificha isionekane na dhana za kijilinda isidunguliwe lakini saa hii imebaki majivu!!!!! Mtasubiri sana Marekani kujitutumua kwa Iran!!!!! Aendelee kumwonea Mchina kwa kukatisha kwenye bahari ya china na mimeli yake!!!! Wairan hawajui kubeep!!!! wao ni kupiga tu ukujichanganya kwenye anga zao!!!!! Tukio hili limemwogopesha sana Marekani!!!!! Hakutegemea kama Iran wangethubutu kufanya waliyofanya!!!!!!
Wakati drone hiyo inashambuliwa, kulikuwa na ndege nyingine ya kiuchunguzi ilikuwa ikiifuatilia drone hiyo, ndege hiyo ilikuwa na askari kama 35 wa US. Iran ingeweza kuitungua ndege hiyo...ila kiubinadamu ikaona iwape onyo wa US kwa kudondosha drone yao. Iran wanajua wanachokifanya.Teh teh teh kweli mnajua kujitekenya na kucheka wenyewe.
Mheshimiwa maarufu, "Mujtahid," katika Twitter yake vyanzo vya kunukuu vilivyoelezewa na Wizara ya Ulinzi ya Saudi, alisema kuwa Marekani sasa imewaomba Saud Arabia kuandaa maeneo ya kijeshi ya Saudi kutumikia Amerika katika mapambano ya karibu.
Inasemekana USA atashambulia Iran kama sehemu tatu hivi sababu Trump anaruhusiwa kutokana na sheria afanye mashambulizi kiasi kama hakuruhusiwa na congess kwenda vitani, na Iran akijibu hapo ndio itabidi congress wampe Trump green light aingie katika vita kamili na hicho ndio Trump, Natanyahu, MBZ na MBS wanakitaka.
Vita vinakuja katika hizi siku au hii week, kutokana na huyo Mheshimiwa maarufu Mujitahidi, na mara nyingi habari zake huwa za kweli haswa katika habari za Royal family za Saudia na inasemekana ni one of Saudi Royal Family.
Yaani mimi nasubiri apigane vita. .mchina azidi kupaa kiuchumi ''Russia nao hawato kuwa nyuma kuuza siraha kwa muajemi. ..hili picha Kali sanaMarekani sidhani kama ataingia kwenye vita na Iran hizo zitakua mbwembwe tu ila anajua uwezo wa kijeshi wa Iran kwamba sio wa kubezwa. Nadhani pia atafikiria kuhusu kuyumba kiuchumi akiwa vitani wakati huo mshindani wake kiuchumi China atakua anazidi kupepea wakati yeye anapigana vita.
Potelea pote. .muhimu USA wapigwe tu ili wawe na nidhamu na pale juu kwenye nchi ambayo ni super power akae mwingineTunashangilia vita halafu bei za mafuta zikipanda tunaanza kulia...
Wale wa Persian wana akili kama mchwa. Tena kwenye Sayansi ya Nuclear na atoms usiwachezee kabisa. Trump mwenyewe kasanda alitanganza kwa mbwembwe kuwa watakiona cha moto. Mbona sasa kabadili uamuzi kuwa hatafanya chochote kuwa ilikuwa bahati mbaya. Iran wamemjibu haikuwa bahati mbaya. Iran is not Iraq,not Afghanistan.
Unatarajia USA atampapasapapasa na vibom vya kuteleza?! Atamtandika mpaka dunia imuombee poh!
Shock and owe! Ndicho kinafuata.
Japan alivyoonyesha ukichwa ngumu kwenye vita wamarekani walimtandika Atomic Bom.
Iran iko kwenye level ya utafiti wa ma Nuke, USA anayamiliki bila kudhibitiwa na yeyote halafu uhatarishe usalama wa NEW YORK wakuangalie!!? Kwani minyuklia yao wameitengeneza ya maonyesho!!?
WAIRAN wanadhani wanajitambua.
Tanzania hatuna mahusiano ya kijeshi na Iran labda wewe in mu-Iran!!
Yule Crown Prince wa Saudia ni mdogo kisiasa bado, angekuwa na akili asinge washambulia wa Yemen nchi masikini.Hahaha Saudia mbona wanajitafutia balaa hawaoni kuwa --USA atasababisha ardhi yao igeuzwe kuwa tanuri la moto
Teh teh teh kweli mnajua kujitekenya na kucheka wenyewe.
Hakuna shughuli ya kiuchumi yenye faida kubwa kuliko vita, litambue hilo kwa leo.Marekani sidhani kama ataingia kwenye vita na Iran hizo zitakua mbwembwe tu ila anajua uwezo wa kijeshi wa Iran kwamba sio wa kubezwa. Nadhani pia atafikiria kuhusu kuyumba kiuchumi akiwa vitani wakati huo mshindani wake kiuchumi China atakua anazidi kupepea wakati yeye anapigana vita.
Tanzania ina mahusiano mazuri tu ya kijeshi na Iran