USA kuishambulia Iran karibuni

Hakutegemea kama Iran wangethubutu kufanya waliyofanya!!!!!!
Wafuatiliaji wa mjadala huu nawakumbusha kuwa 'hiyo' drone iliyodunguliwa ni ya anga za juu (high altitude drone), haionekani kirahisi (stealth), pia nyongeza ya hapo ni kwa drone hiyo ilizima transponders zake ili isishutukiwe kunyata kwake. Kwa maneno mengine ilikuwa na 'three levels of protection'. Muiran kupitia ulinzi wake wa Anga amevunja levels zote tatu na 'kuishusha' drone ya US.
Narudia ninawakumbusha tu wana jukwaa.
 
Mi ndo nakwambia, hakuna cha vita. Watu wameshaona Marekani anaogopa vita. Wakisema waingie vitani Iran itaangamia sana. Iran anataka kujifanya kama Korea kaskazini tu.
Kwanini sasa Marekani inaogopa vita?,hahah
 
Teh teh teh kweli mnajua kujitekenya na kucheka wenyewe.
 
Najilipia mwenyewe kwa jasho langu.
Ohoo kumbe hujui mkuu hiyo unayolipa wewe ni kwa nafasi yako tu sehemu kubwa washalipa serikali na donors wakubwa. Muulize mtu alie nchi zilizoendelea amabako hakuna donors jinsi medical services zilivo ghali.
 
Kuna wakati utapotea kabisa humu yaani utaingia kabisa mitini. It's only a matter of time.
 
Teh teh teh kweli mnajua kujitekenya na kucheka wenyewe.
Wakati drone hiyo inashambuliwa, kulikuwa na ndege nyingine ya kiuchunguzi ilikuwa ikiifuatilia drone hiyo, ndege hiyo ilikuwa na askari kama 35 wa US. Iran ingeweza kuitungua ndege hiyo...ila kiubinadamu ikaona iwape onyo wa US kwa kudondosha drone yao. Iran wanajua wanachokifanya.

 
Hahaha Saudia mbona wanajitafutia balaa hawaoni kuwa --USA atasababisha ardhi yao igeuzwe kuwa tanuri la moto
 
Yaani mimi nasubiri apigane vita. .mchina azidi kupaa kiuchumi ''Russia nao hawato kuwa nyuma kuuza siraha kwa muajemi. ..hili picha Kali sana
 
Hahaha eti bahati mbaya. ..Aliye paswa kusema bahati mbaya ni aliye pigwa au mpigaji. ..!? Hii kali ha haa
 
Venezuela tu kataifa kadogo. .kamemtoa kamasi ndio atawaweza waajemi. ... wale Persian sio watu wa mchezo mchezo. .kama anaweza kweli atie maguu tuone
Unatarajia USA atampapasapapasa na vibom vya kuteleza?! Atamtandika mpaka dunia imuombee poh!
Shock and owe! Ndicho kinafuata.
 
Una zungumzia habari za Jana nilikula Makange. Sisi tunaongelea wakati huu uliopo. ...atie maguu Iran tuone
 
Hahaha Saudia mbona wanajitafutia balaa hawaoni kuwa --USA atasababisha ardhi yao igeuzwe kuwa tanuri la moto
Yule Crown Prince wa Saudia ni mdogo kisiasa bado, angekuwa na akili asinge washambulia wa Yemen nchi masikini.

Trump kaja wakati mzuri baba yake yule crown prince ana ugonjwa wa zahamier yani mfalme ba mwanae hawajui chochote zaidi ya kununua silaha hata kuzitumia hawajui.
 
Hakuna shughuli ya kiuchumi yenye faida kubwa kuliko vita, litambue hilo kwa leo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…