USA current military army tools and vehicles

exburnny

Senior Member
Jun 17, 2014
186
203
813acc47d07910081ceb54c35d6ed1ba.jpg
08f6de3ae2a3f9900f3046520af3ff2a.jpg
fe83282bada7eb228e0ed954dcb4e7c4.jpg
9314444399d0f39f7d13cc719b68c452.jpg
4e1341734c1a39eaa6e14aec0e38e089.jpg
8de329bfa339eb44ca2845a5aceef0a0.jpg
f96e171f1652f11163491599255f33fb.jpg
7ec7253d8320e534c11c28af705b52c7.jpg
2b548aab78f3b23d3504d4041c7d8810.jpg
habari..Zenu wanJf
Na izi ndio zana ambazo mmarekani anafanyia kazi au kuzitumia kwa kweli yup vzuri
wale wa Nk mpooo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kim Jong-Un,
Namnukuu " Risasi moja itakayoanguka kwenye ardhi ya NKorea kutoka kwa USA, Japan au South Korea ama mshirika wake yeyote; sisi Jamhuri ya Watu wa NKOREA tutajibu kwa vita kamili.

Tena, USA atambue kuwa; Sisi Jamhuri ya Watu wa NKOREA siyo kama Warabu.

Keep it up Boy, Kim Jong-Un.
 
Hili game linawababe, hujuma na ufitinishaji wa USA na vibaraka zake ni lazima ufike mwisho.

North Korea aendelee kuweka mizigo mezani kisha tuchambue mzigo wa kupiga kila nchi.
I mean, mzigo kwa ajili ya USA, South Korea, Japan na vibaraka wengine.

Mfano, Japanese hydrogen bomb inawatosha ili tuvisiwa twake tote tuzame baharini.

South Korea, wapokee mizinga ya masafa mafupi.

USA azawadiwe, mabusu moto moto ya Hydrogen bomb kisha achanganyiwe na ICBM za ukweli.

Baada ya hapo, ndiyo tuitishe kikao cha UN Security Council kwa uhalali maana, sasa hivi naona mbwembwe tu kutoka USA ambaye hana huo uwezo wa kivita bali anategemea washirika wake.

Lazima.heshima irudi siyo huu ujinga wa USA kuvamia kila nchi na kujifanya eti ndiye Mungu wa dunia.
 
Back
Top Bottom