Us yataka kuichapa iran.

Us yataka kuichapa iran.

ila jamani mbona kama Mmarekani anaham ya kuchapa mtu mwaka huu au kuna silaha ambazo ametengeneza so anataka kuzitest zinapigaje kazi?eb nisaidieni kuhusu hili.
 
Kasheshe ya Iran c mchezo ingawa mwisho wa cku lazima tukubali kua currently no one will get in the ring against USA and hope to survive. Vita ya sasa its all about UCHUMI, ZANA, TECH, and HEROS na vyote wanavyo.
 
Kupiga Iran ni very delicate issue, kama ni uamuzi angeisha iwassha zamani, lakini Urusi chini ya Putin ni hatari zaidi kwa amani ya dunia. China ipo pro Amerika lakini haijionyeshi kwa uwazi hasa kwa ajili ya maslahi ya kiuchumi. hata hivyo kinachoendlea ni vita vya maneno.
 
US is toothless dog she is overcomed by Russia who is the military power sided by nuclear regimes such Iran,China and North Korea. NO WAR AGAIN.
 
Kasheshe ya Iran c mchezo ingawa mwisho wa cku lazima tukubali kua currently no one will get in the ring against USA and hope to survive. Vita ya sasa its all about UCHUMI, ZANA, TECH, and HEROS na vyote wanavyo.

You are talking rubish!
America said this almost 15 yrs ago! If he/she is soo tough! Why not go ahead and bomb iran!?
Why too much bla bla bla!?
Ask youself that!
 
You are talking rubish!
America said this almost 15 yrs ago! If he/she is soo tough! Why not go ahead and bomb iran!?
Why too much bla bla bla!?
Ask youself that!
Because we've got the weakest president since Jimmy Carter. Obama is weak. Obama ain't got no spine nor balls.
Americans miss the cowboy from Texas!
 
You are talking rubish!
America said this almost 15 yrs ago! If he/she is soo tough! Why not go ahead and bomb iran!?
Why too much bla bla bla!?
Ask youself that!

Kwanza kbsa we don call a state "he" Every state is pronounced "she".
Pili kila mtu ana uhuru wa kutoa maoni yake so kuita maoni yangu rubbish hujawa muungwana coz hata yako yaweza kua rubbish kwangu cz hatulingani hoja ila inabidi niheshimu kile usemacho cz hili ni jukwaa huru hakuna anayemiliki hoja hapa! Kila mtu anahaki ya kusema kile kilicho sahihi kwake na km ni kupinga hoja bas unaipinga kistaarabu kwa kutumia hoja mbadala.
Tatu mimi na wewe ni watanzania kila mtu anaongea kwa kutumia source za nje hakuna kati yetu aliyeko pentagon wala aliyeajiriwa na Iran Intelligiencies SO MAMBO YA KUJIFANYA UNAJUA KULIKO WENGINE UACHE!
 
mbokaleo, ulichoandika hapo hakieleweki na hasa maself sijakielewa, can u brief it mor plz?
 
mbokaleo, ulichoandika hapo hakieleweki na hasa maself sijakielewa, can u brief it mor plz?

Hizi stori za marekani wataichapa iran tumeanza kuziskia ndani ya medi miaka isipungua 15 iliyopita!
Na ni hivi karibuni tu back in 2009 wamarekani walisema almost certain wataripua mitambo na viwanda wanavyodhani vinafua mitambo ya nyukila hapo iran!
Lkn ni domo kaya tu!
Wamarekani wameona test alizofanya muirani back in 2009 za long range missiles and they know if the mess with Iran. Then israel will be taken for aloong ride!
Hawa sio wajinga! Wana midomo mireefu lkn wakijua wayahudi ambao wana lobby yao huku america kuwa watachapwa vizuri. Basi wanaishia vitisho vya midomo na kwenye tv tu!
Sasa mtu akija hapa na kusema America ni kiboko ya wengine. Mi namuona kuwa upeo wake wa kufahamu mambo ni mdogo sana!
More over americans kill more human being on earth. Mara 7 ya mataifa yoote combine!
Sasa hapo fikiria mwenyewe!
I 'm out
 
Because we've got the weakest president since Jimmy Carter. Obama is weak. Obama ain't got no spine nor balls.
Americans miss the cowboy from Texas!

What do you mean"WE"
Since when you vuvuzela became a part of murder nation!!?

Stay with where you belong my friend!
Bongoland!
 
What do you mean"WE"
Since when you vuvuzela became a part of murder nation!!?

Stay with where you belong my friend!
Bongoland!

I was born in the US to Tanzanian parents. I hold the blue passport
 
I was born in the US to Tanzanian parents. I hold the blue passport

It doesn't matter if your born in us bro!
You still Tanzanian!
Thats your roots! 4 u to be born there It just happen by chance! And it doesnt make you american at all!
 
Kwanza kbsa we don call a state "he" Every state is pronounced "she".
Pili kila mtu ana uhuru wa kutoa maoni yake so kuita maoni yangu rubbish hujawa muungwana coz hata yako yaweza kua rubbish kwangu cz hatulingani hoja ila inabidi niheshimu kile usemacho cz hili ni jukwaa huru hakuna anayemiliki hoja hapa! Kila mtu anahaki ya kusema kile kilicho sahihi kwake na km ni kupinga hoja bas unaipinga kistaarabu kwa kutumia hoja mbadala.
Tatu mimi na wewe ni watanzania kila mtu anaongea kwa kutumia source za nje hakuna kati yetu aliyeko pentagon wala aliyeajiriwa na Iran Intelligiencies SO MAMBO YA KUJIFANYA UNAJUA KULIKO WENGINE UACHE!
ha ha nimeipenda hiiii😛eace:
 
You are talking rubish!
America said this almost 15 yrs ago! If he/she is soo tough! Why not go ahead and bomb iran!?
Why too much bla bla bla!?
Ask youself that!

Sio rahisi hivyo kama ufikirivyo.....
 
binafsi natumai USA itakuja kuishambulia IRAN, ni swala la muda tu. wanachotaka ni kutengeneza hoja nzito wapate waungaji mkono. na hii inafaida katika jumuiya ya kimataifa kwani USA haitaonekana mchokozi bali mkombozi kama walivyoweza kuimanipulate iraq. na kama walivyojaribu kuchomekea pale syria wakakwama. japo nadhani ibara ya 56(kama sijakosea hii ibara) inaruhusu mataifa haya yenye veto duniani, kujihami kwa kujilinda kwa kuishambulia nchi yoyote inayoonyesha dalili za kuwa tishio kwa usalama wa watu wake na nchi. hivyo pre-emptive attack inaweza kutumika bila concern ya aina yoyote. ukichukulia jamhuri ya kiislam ya iran imekuwa nchi isiyo na uhusiano mzurina israel hasa pale inapodaiwa kuwafadhili watu wanaohujumu israel kwa ugaidi na ukichukulia sera za nje za iran zina hali ya sintofahamu kama israel ni taifa linalotakiwa kuwepo pale mashariki ya kati.na israel ni kama jimbo lingine la marekani. marekani haitovumilia kuona wa-iran wanamiliki nyuklia kwani inaweza kuathiri israel. pia kihistoria siasa za waarabu na iran sio chanya sana dhidi ya israel, marekani na wazungu wa ulaya magharibi.
 
Marekani ilitaka kuipiga syria ambayo ilikua mbali kimipaka na washirika wake russia na iran.
Ili kuweza kumfikishia silaha assad iran walikua wanapata tabu sana hadi wa airlift na ndege zilikua zinapata misukosuko hata zikikatiza anga la irag kwenda syria.hivyo hivyo rusia nae alitumia ndege na hata meli kufikisha misaada kwa syria.
Licha ya hayo bado marekani akasita kuipiga syria hasa baada ya russia kulundika meli za kivita opposite ya zile meli za marekani bila marekani kuwa na uhakika hasa lengo la russia ni nini.
Ukija kwa iran,hiyo ni habari nyingine,kwani russia inapakana na iran na inakua rahisi sana russia kuisupply iran pindi ikiwa vitani na marekani.
Sidhani kama itakuja tokea.ingekua rahisi marekani angeshapiga zamani sana.
 
Hili mbokaleo ni dudu gani??? Lina kiherehere utadhani spika za azana!!! Lina chuki binafsi na marekani utazani wameliibia mke! Kama una povu na america kula wembe. mara uwaambie wenzio wanafikiri na makalio, wewe unafikiri na p.umbu na sahani ya ugali kichwani! Tutolee povu wewe kibwengo!! Unajifanya unajua maandiko hata shetani ni mjuzi kuliko wewe shwaini
 
Iran keshalegea na amesema hana mpango wa kutengeneza tena Silaha za Kinyuklia so hatopigwa tena kaona mwenzie Assad alivyofyata naye kaona kumbe njia ndio kama hii..... atakaguliwa ndani ya chupi yake then ataachwa tu
 
Back
Top Bottom