Us yataka kuichapa iran.

Us yataka kuichapa iran.

Hili mbokaleo ni dudu gani??? Lina kiherehere utadhani spika za azana!!! Lina chuki binafsi na marekani utazani wameliibia mke! Kama una povu na america kula wembe. mara uwaambie wenzio wanafikiri na makalio, wewe unafikiri na p.umbu na sahani ya ugali kichwani! Tutolee povu wewe kibwengo!! Unajifanya unajua maandiko hata shetani ni mjuzi kuliko wewe shwaini

Teh teh teh teh!
Shangazi kawa mkali kama kalishwa shubiri!

Sasa mi chuki yangu na hao wauwaji inakuhusu nini wewe?
Au umechumbiwa na mmarekani!?
Manake nyie wakolinto mnapoona mtu anawapiga madongo wamarikani basi mnakuja juu utafkiri katajwa mumeo!
Namna gani Emirates4 tuliza munkara!

Usijezaa kabla siku hazija kamilika.
 
Last edited by a moderator:
Iran keshalegea na amesema hana mpango wa kutengeneza tena Silaha za Kinyuklia so hatopigwa tena kaona mwenzie Assad alivyofyata naye kaona kumbe njia ndio kama hii..... atakaguliwa ndani ya chupi yake then ataachwa tu

Haya ndio matatizo ya kungalia sana movie za kihindi!!

Unayoyaona humo SIO KWELI!
HAO WANA ACT TO!
teh teh teh teh!
 
Back
Top Bottom