US: Matokeo ya uchaguzi wa Tanzania na Uganda yatazorotesha Usalama kwenye Ukanda wa Afrika Mashariki na Kati

US: Matokeo ya uchaguzi wa Tanzania na Uganda yatazorotesha Usalama kwenye Ukanda wa Afrika Mashariki na Kati

Quinine

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2010
Posts
24,144
Reaction score
56,410
TAREHE 23 JANUARI, 2026.

WASHINGTON—U.S. Seneta Jim Risch (R-Idaho), Mwenyekiti wa Kamati ya Seneti ya Mahusiano ya Kigeni.

Uchaguzi wa Uganda - kama ulivyokuwa uchaguzi wa hivi majuzi nchini Tanzania - ulikuwa uchaguzi wa hovyo usio na maana, ulioandaliwa ili kuhalalisha muhula wa saba wa Rais Yoweri Museveni na miongo minne madarakani.

Lakini zaidi ya Tanzania, Uganda ni mshirika mkuu wa Marekani kwa usalama wa Kikanda. Hata hivyo, utawala wake unatanguliza udhibiti wa ndani kupitia vurugu za kisiasa, utekaji nyara, kufungwa jela, vitisho dhidi ya wapinzani, na matumizi mabaya ya rasilimali za serikali ili kuendelea kushikilia madaraka.

Uganda na Tanzania zinaenda njia inayofanana zinahusishwa na kuzorotesha shughuli za usalama wa Kikanda, zinahusika pia na kuzorota wa usalama wa ndani wa serikali ya Sudan Kusini.

Serikali ya Tanzania na Uganda zinaibua wasiwasi mkubwa kwa nchi nyingine katika chaguzi zijazo, zikiwemo Ethiopia na Kenya.

======For English Audience=======​

PUBLISHED:JANUARY 23, 2026

WASHINGTON—U.S. Senator Jim Risch (R-Idaho), chairman of the Senate Foreign Relations Committee, released the statement below on Uganda’s recent elections.

“Uganda’s elections – like the recent elections in Tanzania - were a hollow exercise, staged to legitimize President Yoweri Museveni’s seventh term and four decades in power.

“But even more so than Tanzania, Uganda is a key regional security partner to the United States. Yet, its ruling regime prioritizes domestic control through political violence, abductions, imprisonment, intimidation of opponents, and the misuse of state resources to maintain its grip on power.

Uganda is also linked to destabilizing regional activities, including in South Sudan—making the regime an increasingly problematic exporter of instability. Tanzania and Uganda are moving along similar paths, raising serious concerns about what this portends for other countries with upcoming elections, including Ethiopia and Kenya.
 
Hakuna kipindi kizuri cha kuwashughulikia ipasavyo Ccm na Samia wao kama kipindi hiki.

Wazungu wameshauchoka kabisa upuuzi wao na hawawataki kabisa.

Kama Watanzania tunataka mabadiliko ya kweli na kulikomboa kweli hili Taifa kutoka kutoka mikono ya hawa wauaji, madhalimu na makatili ccm basi huu ndo wakati sahihi. Tuwatumie vizuri sana Marekani, ICC na EU kipindi hiki
 
Hakuna kipindi kizuri cha kuwashughulikia ipasavyo Ccm na Samia wao kama kipindi hiki.

Wazungu wameshauchoka kabisa upuuzi wao na hawawataki kabisa.

Kama Watanzania tunataka mabadiliko ya kweli na kulikomboa kweli hili Taifa kutoka kutoka mikono ya hawa wauaji, madhalimu na makatili ccm basi huu ndo wakati sahihi. Tuwatumie vizuri sana Marekani, ICC na EU kipindi hiki
Ni kweli, this time Watanzania hawajalala wapo hadi the Hague wana push agenda.
 
Hakuna kipindi kizuri cha kuwashughulikia ipasavyo Ccm na Samia wao kama kipindi hiki.

Wazungu wameshauchoka kabisa upuuzi wao na hawawataki kabisa.

Kama Watanzania tunataka mabadiliko ya kweli na kulikomboa kweli hili Taifa kutoka kutoka mikono ya hawa wauaji, madhalimu na makatili ccm basi huu ndo wakati sahihi. Tuwatumie vizuri sana Marekani, ICC na EU kipindi hiki
EU wameiondolea vikwazo Tanzania, mkae mkijua hao wazungu wanatazama kwanza maslahi yao iwapo yana usalama au la.
 
Madaraka ni sawa na mtu kuwa tajiri hapo ataulinda utajiri wake kwa nguvu zake zote, siunajua maumivu ya kufilisika kama dharau, kushushiwa heshima na kukosa ushawishi kwa jamii!, vivo hivo hata madaraka ndio maana wapo radhi watumie hata mtutu wa bunduki kubaki kukalia kiti asitolewe.
 
Tunaiomba Dunia, iende hatua moja mbele, kutoka kwenye kukemea, iende kwenye vitendo. Watusaidie kutuondolea hawa wauaji. Wananchi wamejitahidi kupinga ushetani wao, lakini kilichotokea ni hawa mashetani kuua maelfu ya wananchi. Haya mashetani, siku uatakapoonfolewa, itakuwa ni shangwe zaidi ya mara elfu, ya ile ya kupata uhuru.
Utawala wa Tanzania una tofauti ndogo sana na ule wa Ayatollah wa Iran.
1. Ayatollah anau wale anaodai wameenda kinyume na matakwa ya Allah, Samuya anau wanaoenda kinyume na genge la CCM.
2. Ayatollah anafadhili makumdi ya kigaidi ili yawaue wanaoenda kinyume na matakwa yake, Samuya anafadhili makundi ya watekaji ili waue wote wanaomkosoa au wanaotaka utawala wa haki.
 
Huu uzi lazima aje yule jamaa kwenye profile yake kuna picha ya mdada.

Lazima aje kubwabwaja hapa

Rubbish.
Hoja zangu zinakita mbali, mpaka kwenye seli za mwisho za kumbukumbu kwenye ubongo, yaani mtu anahofia akija gallow bird hapa ata-blow vihoja out of proportions,so anatamani nisije ajadili tu na mandezi,nyumbu wenzie
 
TAREHE 23 JANUARI, 2026.

WASHINGTON—U.S. Seneta Jim Risch (R-Idaho), Mwenyekiti wa Kamati ya Seneti ya Mahusiano ya Kigeni.

Uchaguzi wa Uganda - kama ulivyokuwa uchaguzi wa hivi majuzi nchini Tanzania - ulikuwa uchaguzi wa hovyo usio na maana, ulioandaliwa ili kuhalalisha muhula wa saba wa Rais Yoweri Museveni na miongo minne madarakani.

Lakini zaidi ya Tanzania, Uganda ni mshirika mkuu wa Marekani kwa usalama wa Kikanda. Hata hivyo, utawala wake unatanguliza udhibiti wa ndani kupitia vurugu za kisiasa, utekaji nyara, kufungwa jela, vitisho dhidi ya wapinzani, na matumizi mabaya ya rasilimali za serikali ili kuendelea kushikilia madaraka.

Uganda na Tanzania zinaenda njia inayofanana zinahusishwa na kuzorotesha shughuli za usalama wa Kikanda, zinahusika pia na kuzorota wa usalama wa ndani wa serikali ya Sudan Kusini.

Serikali ya Tanzania na Uganda zinaibua wasiwasi mkubwa kwa nchi nyingine katika chaguzi zijazo, zikiwemo Ethiopia na Kenya.

======For English Audience=======​

PUBLISHED:JANUARY 23, 2026

WASHINGTON—U.S. Senator Jim Risch (R-Idaho), chairman of the Senate Foreign Relations Committee, released the statement below on Uganda’s recent elections.

“Uganda’s elections – like the recent elections in Tanzania - were a hollow exercise, staged to legitimize President Yoweri Museveni’s seventh term and four decades in power.

“But even more so than Tanzania, Uganda is a key regional security partner to the United States. Yet, its ruling regime prioritizes domestic control through political violence, abductions, imprisonment, intimidation of opponents, and the misuse of state resources to maintain its grip on power.

Uganda is also linked to destabilizing regional activities, including in South Sudan—making the regime an increasingly problematic exporter of instability. Tanzania and Uganda are moving along similar paths, raising serious concerns about what this portends for other countries with upcoming elections, including Ethiopia and Kenya.
Amani afrika mashariki na kati inaharibiwa na marekani,toka somalia hadi DRC
 
Pamoja nakusema siwakubali SISIEM, ila kila nchi ipambane na shida zake.

Hao SISIEM tutapambana nao tu, mpaka tuelewane, ila Hakuna uhuru wowote wa kweli utapatikana kwa Millitary interventions kutoka Nje.

Tushayaona ya Libya. Hatuwezi kukubali tena.
 
Back
Top Bottom