US likely to deploy Missile Defense System in Iraq after Iranian attack.

... Iran asiruhusu kabisa hizi systems ziwe deployed huko Iraq; anachoweza kufanya ni kuhakikisha misafara yote ya US itakayokuwa inabeba hiyo mizigo anaisambaratisha kwa makombora fasta kabla haijafika destination point. Yaani asiruhusu kabisa msafara wa US kukatisha ardhi ya Iraq! Aipige makombora ya haraka haraka hadi makafir wakimbie au awauwe wote.
Tatizo lako hata sisi wenyewe humu hatukujui na id yako hiyo feki, sasa hao wairaki ndio watakufahamu.

Majeshi ya Marekani yakiondoka Iraq basi Iraq haitakalika. Wairaki wanawahitaji
Wamarekani kuliko Wamarekani wanavyowahitaji Wairaki kwani wenyewe Wairaki ndio waliyowaomba Wamarekani wabaki Iraq.
 
Kama waliwaomba Miaka Ilopita Ila Sio Mbali Mwisho Jana 25/01/2020 WAIRAQ Hao Hao Wamendamana Maelfu Wakiwataka Maaskari Magaidi wa US Kuondoka
Tatizo lako hata sisi wenyewe humu hatukujui na id yako hiyo feki, sasa hao wairaki ndio watakufahamu.

Majeshi ya Marekani yakiondoka Iraq basi Iraq haitakalika. Wairaki wanawahitaji
Wamarekani kuliko Wamarekani wanavyowahitaji Wairaki kwani wenyewe Wairaki ndio waliyowaomba Wamarekani wabaki Iraq.
Mwisho Kabisa Wa US Wanawahitajia Zaidi Wa IRAQ Maana Mafuta Wanayo Yaiba Kule Sihaba.....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kofi la Uso Tu Hilo Mna Anza Kuchanganyikiwa


All Is Well

Sent using Jamii Forums mobile app
La uso Mubashara.
tapatalk_1578619867238-1.jpeg


dodge
 
Na hao hao wairaki wanataka US waondoke kwny ardhi yao.
Tatizo lako hata sisi wenyewe humu hatukujui na id yako hiyo feki, sasa hao wairaki ndio watakufahamu.

Majeshi ya Marekani yakiondoka Iraq basi Iraq haitakalika. Wairaki wanawahitaji
Wamarekani kuliko Wamarekani wanavyowahitaji Wairaki kwani wenyewe Wairaki ndio waliyowaomba Wamarekani wabaki Iraq.

dodge
 
Kama waliwaomba Miaka Ilopita Ila Sio Mbali Mwisho Jana 25/01/2020 WAIRAQ Hao Hao Wamendamana Maelfu Wakiwataka Maaskari Magaidi wa US KuondokaMwisho Kabisa Wa US Wanawahitajia Zaidi Wa IRAQ Maana Mafuta Wanayo Yaiba Kule Sihaba.....

Sent using Jamii Forums mobile app
NB: Kwa sasa Marekani ndio the world's largest oil producer although Saudi Arabia remains the world's largest exporter.

Hivyo issue sio oil kama baadhi sampuli yenu mnavyofikiri. The issue goes beyond oil and after all, the global uses of oil dwindle as years go by.

Towards the turn of this century the world's demand for oil will only be a poultry 5% and that's the reason why some oil exporting countries like Saudi Arabia, UAE etc are struggling to diversify their oil dependent economies.
 
Binafsi hakuna sehemu nlosema kama sababu ni mafuta kama unavyotaka kuwaaminisha wanajukwaa hapa ndani ila kama US Ndio Oil Producer sawa sijakataa wala kukubali nnacho kiongelea mm nikwamba jamaa hawamtaki pale IRAQ Anangojea nn kama wangekua wanamuhitaji wala wasingekua wana andamana na kumpinga Bungeni
NB: Kwa sasa Marekani ndio the world's largest oil producer although Saudi Arabia remains the world's largest exporter.

Hivyo issue sio oil kama baadhi sampuli yenu mnavyofikiri. The issue goes beyond oil and after all, the global uses of oil dwindle as years go by.

Towards the turn of this century the world's demand for oil will only be a poultry 5% and that's the reason why some oil exporting countries like Saudi Arabia, UAE etc are struggling to diversify their oil dependent economies.
Anafanya nini IRAQ Atafte pakwenda

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tatizo lako hata sisi wenyewe humu hatukujui na id yako hiyo feki, sasa hao wairaki ndio watakufahamu.

Majeshi ya Marekani yakiondoka Iraq basi Iraq haitakalika. Wairaki wanawahitaji
Wamarekani kuliko Wamarekani wanavyowahitaji Wairaki kwani wenyewe Wairaki ndio waliyowaomba Wamarekani wabaki Iraq.
Hahahahahaaa!!! Mliobahatika kupata Scholarship kwa hisani ya US Aid hamjifichi. Yaani mnajitoa ufahamu hadi mnageuka kuwa wasemaji wa US Department of State
 
Duuh eti hakukua na kitisho chochote kutoka ndani amna nje ya IRAQ Nikukumbushe Tu US Wanaitambua IRAN Kama Taifa Namba Moja DUNIANI Kwakufadhili Eti MAGAIDI Unahisi Hicho Sio Kitisho Kwakambi Zao Ambapo Hio kambi Ipo Jirani na Taifa Ambalo Wanalitambua Kama Wafadhili Wakuu Wa UGAIDI Halaf Wewe Msemaji Wa WAYAHUDI Wa Jf Unasema Hawakua Na Kitisho Pole Sana

Nakama hakukua na kitisho kabla kulikua na kitisho baada ya kuawawa soleiman US walichukua Hatua Gan ?!
Kwa mazingira ya Iraq kulikuwa hakuna sababu ya kuweka defensive missile sababu hakukuwa na kitisho chochote cha ndani wala nje.

Sent using Jamii Forums mobile app
Nakumalizia Yamwisho Yakwamba US Wanazitambua Nchi Nyingi Ikiwemo IRAN Yakwamba Ni Tishio Kwa Maslahi Na Usalama Wa US Nahio Nisheria Kabisa Ipo Halafu Wewe Myahudi Wa Nairobi Cjui Wapi Unasema Hakukua Na Tishio Lolote Lakiusalama Kutoka Nje Ama Ndani Ya IRAQ

Ndani ya IRAQ Kwenyewe Kunamakundi Kibao Yawana Mgambo Wanayoyaita Yakigaidi Yanayoungwa Mkono Na IRAN Ikiwemo Lile La QATIB HIZBULLAH Halaf Useme Hakukua Nakitisho Toka Ndani Wala Nje

Pole Sana MYAHUDI Wa JF Ila Tafta Sababu Nyengine Yakutudanganya Ila Kwahii Umepuyanga

Wanayoyaita mamaifumo yakiulinzi hamna kitu ilitwangwa SAUDIA tena na wanamambo Tuu teh teh


All Is Well In Turampet Voice

Sent using Jamii Forums mobile app
 
  • Thanks
Reactions: RTI
Back
Top Bottom