US Election Coverage 2008

Ahahahahahaaaaa....inasemekana....Bubu, mengi yanasemekana sana.....na tukianza kujadili yanayosemekana na sisi tutaishia kusemekana....

McSame kichwa chake kimechoka, hana uwezo wa kudeal na crisis zaidi ya moja kwa mpigo. Kuanza kufikiria afanye nini kurescue kampeni yake ambayo inaenda kombo, aseme nini katika debate yake ambayo maandalizi yake hayawaridhishi wapambe wake na aseme nini kuhusu kuanguka kwa stock market na pia uwezekano mkubwa wa kuanguka uchumi wa US. Too many crisis at the same time!!! Alifikiri Urais ni lelemama unashughulikia crisis moja kwanza ukimaliza unahamia kwenye nyingine. Hajui kama kunaweza kuwa na crisis tatu au hata zaidi kwa wakati mmoja!!!! No McSame, No McOld and No Kisura! They should try again in 2012, this one is over, unless they want to steal another one like 2000 and 2004. Haya Nyani hujachelewa unaweza kuja kambini kwetu sisi hatuna matatizo ya kupokea wapotevu 🙂
 
Huyu Obama ni zero kabisa!! Anaendekeza kupiga domo hata kwenye dharura zaidi ya kutenda. Shame on him. I have no respect for him at all. This was very off-putting to me, very.


LOL! Too many gaffes were the reason behind McSame's failures, he should wait for 2012.
 
Check this out....

Sen. Barack Obama was forced to eat his own words tonight after taking a phone call from President Bush and agreeing to a White House meeting.

In a call that lasted about 6 minutes, Bush summoned Obama to Washington to meet with both houses of Congress to get the $700 billion rescue plan passed.

It was the same request made earlier today by Republican presidential candidate McCain in a phone call to Obama.


But Obama initially refused McCain's request to postpone his campaign and meet with Congress. Obama decided instead to focus on the first presidential debate on Friday. McCain had earlier said he would skip the debate and return to Washington.

In an embarrassing display of hubris, Obama mocked McCain's decision to suspend his campaign by saying a President should be able to do more than one thing at a time.
But Obama's words may have backfired. On the liberal blog The Huffington Post, the reaction was mixed, with one reader saying any candidate who expects to be President in 40 days should put the needs of the country first.

Another reader wrote, "I hate to tell ya'll this but in the end Mcain will look golden and O will like a self-centered moron."


Some members of the liberal media are calling McCain's chess move "brilliant," because it caught Obama completely off guard.

Source: sandrarose.com
 

Hey Nyaniiiii! read above before posting! Obama leads and not only McCain but BUSH as well follows! The idea of going to Washington started with OBAMA this morning!!!! At 08.30!!!!
Hahahaaaaa! Now Bush is following Obama OPENLY! Hamna chess game hapa wala nini, Babu yako amevuliwa nguo kabaki mtupu kabisa. Opinions say that you don't suspend your campaign in any crisis except something like 9/11 ambapo watu wamekufa etc. But not this. Crisis haikuanza leo. Chris Dodd amesema Obama has been in touch with COngress, Paulson, Bush and Babu yako admitted yesterday he has not even read the 3 page bailout plan. media ndo inaweka facts hizi hadharani! Babu yako anazidi kuonekana kabolonga. Haya endeleeni na vioja vyenu! Obama is not suspending his campaign ataenda Washington kumwona Bush and then what? Hiyo bailout plan ya BUsh haipiti. What GOP is trying to disguise is that it is SPLIT on this, na Republican congress imemtimua Cheney haitaki kupitisha the Bailout plan, so no compromise! Bush kafeli na babu yako naye atafeli kwani anaonekana akitaka ku-rescue Bush's plan.
 
Duuuuuuh!
Nyaniiii Fox news imekubali that Obama is leading by +6 points!!!! Sasa FIxed news is biased FOR McCain but if the news is this bad, ndo maana ame-panic na kuomba time out! kwikwikwiii
 
I am afraid Obantu's bounce in the polls could be what's known as the "Wilder effect"


Source:

Best of the Web Today - WSJ.com
 
Keep on afraiding we'll see you again in 2012. Americans are not stupid to elect to someone who has no leadership qualities like Kichaka again. C'ya in 2012 🙂

And what you saw and heard from McCain yesterday, is what leadership is. Now The Messiah is going to Washington to be part of the solution.....good for him.
 
And what you saw and heard from McCain yesterday, is what leadership is. Now The Messiah is going to Washington to be part of the solution.....good for him.

That's what your Babu wanted to be pictured. After speaking to Bush before the prime -time speech about inviting them to WH, and then Your Babu go to media to pre-announce it as his suggestion!!, Hahaha, all these won't work this time even when your babu decides to board a fighter jet and head to Iraq or Afghanistan, he will still be a loser. Obama shows leadership by initiating the Call 8.30 am. The bill is not going to pass by friday as your babu wants and Debates continue as usual whether he attends or not. Your Babu is a little "paniced". McSame campaign is a total failure campaign thats what you have to know. How a president can't be able to handle multiple tasks?, he asks a hand from Kichaka, "that is more of the same"
 
McCain wants the bill to pass so that he can change the topic from Economy to lipstic, I think he made a big mistake to stop the campaign for pressing the congress to pass a technical bill which if passed gona affect the lives of Americans for decades in just one day. This bill is supposed to pass mid or end of october after all parties involved have been satisfied by it's substance. McSame politicize it and give pre conditions for debates. I think this will backfire and in less than 40 days he's going to fire all his campaign advisers. This is the end of McSame in presidential race.
 

What if President Bush was on a trip overseas while this crisis is going on? Should he have continued with his trip or come back to deal with the problem?
 
What if President Bush was on a trip overseas while this crisis is going on? Should he have continued with his trip or come back to deal with the problem?

Bush is current president, was not out of a country when the crisis began, if the bill passed he's the one to sign it, What about McCain?, going to vote? in senate. If this is the crisis which makes him to suspend the campaign what about the crisis in Iraq and Afghanistan where American soulders are risking their lives is that not a crisis enough to make your babu suspend tha Campaign?. He'll be the problem and not the solution to bill, he admits that he's bringing no know how about the bill, so why can't he leave the experts to deal with the issue?. The only justification for his move is pass the bill so that i can turn the focus to lipstic.
 

He is a United States senator first and candidate second. Kama Obama hataki kwenda kuwajibika, sawa tu. Huo ni uamuzi wake na washabiki wake. Period. Kama hamtaki aende DC kujiunga na maseneta wenzake kutatua tatizo liliopo, mwandikieni na mmsihi aache kwenda na aendelee kupiga kampeni. Hakuna ubaya wowote.

Sijui walichaguliwa kuwa maseneta kufanya kazi gani?
 


I agree with you that uamuzi wa babu yako pia asitake kufanya watu wote Tomaso, kama yeye anaona kwenda DC ni kuwajibika aende kivyake na sio kutaka kuchukua cheap political points kwa kutaka the sama kwa Obama. Obama amesema yeye yupo tayari kama ikionekana kwenda DC kutasaidia na ndio maana amekubali mwaliko wa Kichaka, japo ni rescue plan ya GOP kwa McSame. That is how true leaders acts. Umemsikia mdenish alivyosema hapo kwenye CGI, dunia ya leo ni ya multiple tasks sio ku focus issue moja tu. Babu yako ameonesha udhaifu mkubwa sana katika kuhandle crisis.
 
Hakuna mtu anayejua kuendesha nchi kama raisi unless uliwahi kuwa raisi before. Either way (political or not), Palin's choice was a brilliant one and one that will pay big on Nov. 4th.....just wait and see....
Nina imani unaona jinsi mambo yanavyokwenda kwa hivi sasa. Kama unaona she is brililiant, jaribu kuangalia interview yake ya "tatu tokea alipoteuliwa" ya Katie Couric. Swali dogo dogo tu la kuhusu Fredies CEOs kuwepo kwenye kampeni.
Anaogopa local media; anaweza kweli kwenda kupambana na world leaders ikiwa local media inamshinda? Aliowachagua kukutana juzi UN ni akina Karzai, hao si ndio haohao tu ma homeboyz....
 
Wazee kuna mtu aliangalia David Letterman show jana...?
I usually watch Jay Leno lakini kwa sababu alikuwa na Dr. Phil na yule jamaa sim mind..nika switch kwenda CBS. Letterman spent 15 minutes ripping off McCain. The guy who used to love media and all the spotlight. Apparently McCain was suppose to be on Letterman show jana....na aka default in the final hours...so they invited Keith Olbermann kwa 15 minutes na 15 minutes za mwanzo zilikuwa ripping off MCCAINNNNNNNNNNNNN and SARAH PALIN.
 
 

Nakumbuka Obama hakwenda kwenye Saturday Night Live a few weeks ago wakati wa Gustav.....hakuna aliyesema kitu
 
Nakumbuka Obama hakwenda kwenye Saturday Night Live a few weeks ago wakati wa Gustav.....hakuna aliyesema kitu

Huwezi fananisha Gustav na Financial crisis. Hapo mkuu unakosea kabisa. Gustav ni natural disaster with human fatal nature. Financial crisis is a result of poor greed, on your own, deregulation, trickle down policies ambazo McCain amekuwa akizifagilia for 26 years. the bill for financial crisis is in the pipeline, so what McSame can do with it while he's empty on economy?. "Sequel is always worse than original" - Biden to McCain on bush's third term
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…